Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Dk. 69 JPN 0-1 USA.
BBC three wanaonyesha.Dah! Hamna local chanel inaonyesha hii game?
well said.Dah! Karata yangu naiweka Japan!
kwa kweli wanajitahidi maana pamoja na maumbo yao madogo wanawamudu vilivyo usa.Inaonekana USA hawapendwi. Japan wavute kasi maana hali langoni kwao ni tete.
Hii mechi inaweza kwenda upande wowote sasa.. Ila wajapan wakitulia na kupunguza makeke kwenye mpira wanaweza kupata goli la pili maana naona wamepoteza nafasi mbili tatu nzuri.
Mtu yoyote aliye interested Brazil na Paraguay bado 0-0 dakika ya 87.
Wajapn waliwamudu wajerumani, nilikoma mwenyewe. Ila Huyu Rapinoe na Wambach ni noma ukiwachekea wanakuondoa.kwa kweli wanajitahidi maana pamoja na maumbo yao madogo wanawamudu vilivyo usa.
It's Wambach again! USA 2 Japan 1...Huyu kwa vichwa! ni moto wa kuotea mbali.