Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,462
- 154,332
WTF.......
Haya ndio majibu ya urefusho wa abrv WTF.
1. Wewe Tu Fukara= hii niliikuta pale Tandale kwa muuza popo.
2. Watu Tuna Fedha = hii niliikuta pale Magomeni kwa Mchambia kisu
3. Wagumu Tunavyo Funika.= hii niliisikia Majohe kwa Mpiga kwenzi
4. Wafungwa Tuna Fanyana = hii niliisikia kwenye gereza la Cameroon
5.
Ahhh da nimesahau mengine, mwe......
Haya ndio majibu ya urefusho wa abrv WTF.
1. Wewe Tu Fukara= hii niliikuta pale Tandale kwa muuza popo.
2. Watu Tuna Fedha = hii niliikuta pale Magomeni kwa Mchambia kisu
3. Wagumu Tunavyo Funika.= hii niliisikia Majohe kwa Mpiga kwenzi
4. Wafungwa Tuna Fanyana = hii niliisikia kwenye gereza la Cameroon
5.
Ahhh da nimesahau mengine, mwe......