Writing on the wall for Kagame as key donors cut aid, huge government projects face delays

Hahaha ati kuku asikujoe? Hahha. Tanzania washenzi these are my people but washenzi sana. I have a mixed feelings with kagame but still he is a great leader. Of course kama kongo hwajui kutumia resources hata mimi naiba. Also, i dnt wish any vita in rwanda and it will not happen again because people have seen all the colors and not willing to trade what they have already built with their own egocentric. Aii bila kusahau watoto wa Kike wa kitusi ni watamu sana aise. Mimi simrudii mtz ng'oo. Wanamaji, wanaktika, walaini halafu wa ukweli. Igtuba so yamiii

wa gicucu we! Umusazi kwakweli
 
Msipende kupotosha watu, hapa JF ni jukwaa la kuelimishana si majungu na uropokaji. Kigali is the most peaceful place, si kama Dar ukabaji na kuchinjana kila kukicha. Hao wanaoropoka sidhani kama kweli walifika Kigali ya Rwanda, labda wanajichanganya na Kigali ya Dar Es Salaam.
 
naona hamjui source ya vita!kule kongo kuna hawa jamaa wanaitwa banyamulenge wana asili ya kitusi n they hv bin there even bfr colonial bt serikali ya kongo ina wa-harasi sana na haitak kuwatambua so wat m23
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom