hivi wewe umeshapata picha kwamba unaanzaje kumwelezea?.."sorry msukuma naomba nikuambie ki2 but nihaidi kwamba utanisamehe, jana cjui nn na nn"...nani anataka kisukari maisha haya?
Madada wengine bana.............khaaaa!
Dah, nyimwa vyote, lakini wakuachie amani utaishi.Amani, Amani ya moyo.Kama umechit na nafsi yako inakusuta sn kwa ulichokifanya..utamwambia tu mwenzio ili upate kuponya nafsi yako..hakuna kitu kibaya km nafsi kukosa amani.
Madada wengine bana.............khaaaa!
kwel utasema acha uzush kuhusu hili sijakukubalia kabisa mana sir ya mtu huijua mtu mwenyewe. Ila siwez kuhamin kuwa kama umefanya makosa umwambie mwenzio may mbaka akushukie hapo ndo nitakubali lakn hv hv umueleze awapNitasema,sina uwezo wa kuhifadhi sirii kwa muda mrefu hasa pale yule niliyemtenda visivyo hastahili kutendewa hivyo...God Forbid Please!!!
Wewe? umwambie then uachwe? bora unyamaze tu kama halijabumbuluka, maana walivo na roho nyepesi hukawii kuambulia mabao ya uso na talakalabda uwe umeshaichoka hiyo ndoa upo tayari kwa lolote, iendelee/ivunjike kwako poa tu, hakuna mwanaume anaeweza kustahimili kuckiliza yiyo hadithi, kwanza unaanzia wapi kumwelezea, kuliko hivyo bora umwage kabisa cku unayoenda ku cheat na umjulishe eneo la tukio, kama umefanya cri na iwe cri milele...
Guys, am I the only sane person in this forum. I will just say " look mamii, what did the guy offer that you think you cant get it from me?" Af basi ntamwambie switii siku ingine nambie tu bana I want this way n I ll be there to serve you, tehe tehe
Orayt....kwa muktadha wa kuzitunza ndoa zetu na kukilinda chama chetu....
HAKUNA KUSEMA.........hata kwa padre!
siwezi kusema na hata akihisi kitu na akaamua kuniuliza sitakubali, mwe kutubu baadhi ya dhambi unaweza kuwa ndo kuwa mwisho wa mahusiano
Yeah....! Na kwa kufanya hivyo utamuwezesha yeye ajue namna ya kukuhandle....! Lakini pia kama utapata msamaha itakuwa ni ya kweli, kuliko ungenyamazia hadi anagundua mwenyewe....! Binafsi ni rahisi sana kumsamehe anayejisalimisha kuliko ninayemfukuza hadi namkata kwa juhudi zangu....! Vilevile kwa kusema, utamfanya naye ajisute na aliyowahi kutenda juu yako kama kukucheat.....! Hata hivyo kisaikologia, kusema siri zote ni kama kudelete file/folder la "siri" ubongoni mwako....! So, you will not have any place to save other secrets in the future, and thus you will find yourself being very careful....! Lakini unapotunza siri humaanisha lile folder litaendelea kuwepo, na hivyo unakuwa rahisi kutenda nyingine kwa kuwa una folder la kuhifadhia...! Please, if you can expose everything to your partner, go and do it....! Hata asipokusamehe, wewe mwenyewe utakuwa umekwisha samehewa na Mungu wako (provided ulimwambia ukimaanisha kuomba msamaha haswa, na sio kwa kumpima au kumkejeli), naye atakuja tu kujutia kutokukusamehe baadaye....! What I am saying is already proved....!Kama umechit na nafsi yako inakusuta sn kwa ulichokifanya..utamwambia tu mwenzio ili upate kuponya nafsi yako..hakuna kitu kibaya km nafsi kukosa amani.
Aisee wamefanyaje tena mzee ODM?Madada wengine bana.............khaaaa!
heheheh bacha yaani baada ya kusema ukweli, na kibuti unapewa faida iko wapi hapomwe.....hapo tu ndo pamenifanya nicheke!
kama yuda alivyomkana yesu lol......
Yeah....! Na kwa kufanya hivyo utamuwezesha yeye ajue namna ya kukuhandle....! Lakini pia kama utapata msamaha itakuwa ni ya kweli, kuliko ungenyamazia hadi anagundua mwenyewe....! Binafsi ni rahisi sana kumsamehe anayejisalimisha kuliko ninayemfukuza hadi namkata kwa juhudi zangu....! Vilevile kwa kusema, utamfanya naye ajisute na aliyowahi kutenda juu yako kama kukucheat.....! Hata hivyo kisaikologia, kusema siri zote ni kama kudelete file/folder la "siri" ubongoni mwako....! So, you will not have any place to save other secrets in the future, and thus you will find yourself being very careful....! Lakini unapotunza siri humaanisha lile folder litaendelea kuwepo, na hivyo unakuwa rahisi kutenda nyingine kwa kuwa una folder la kuhifadhia...! Please, if you can expose everything to your partner, go and do it....! Hata asipokusamehe, wewe mwenyewe utakuwa umekwisha samehewa na Mungu wako (provided ulimwambia ukimaanisha kuomba msamaha haswa, na sio kwa kumpima au kumkejeli), naye atakuja tu kujutia kutokukusamehe baadaye....! What I am saying is already proved....!
siwezi kusema na hata akihisi kitu na akaamua kuniuliza sitakubali, mwe kutubu baadhi ya dhambi unaweza kuwa ndo kuwa mwisho wa mahusiano