Wote wanafiki,hatuna lolote??. . . Sikia ushauri huu . . .!!

Wanawake na wanaume wote tu binadamu lakini tunatofautiana sana kifikra na kimtazamo hapo ndo tatizo linapoanza! Wanaume wako so phyisical na wanatumia akili zaidi while wanawake wako so emotional na wanatumia hisia zaidi. Wanaume hua wanaanza kufikiri kwanza then ndo wanahisi na wakati wanawake ni virceversa! Women &men hatuwezi kua sawa what is needed ni jinsi ya kuelewana na kuchukuliana madhaifu yetu bila ugomvi..

Hivi unadhani ni kwanini hatuelewani pamoja na kutambua hiyo tofauti?
 
Eiyer maisha mazuri ni yale ya kujiassess na kila kosa litokeapo uone kamba wewe ndiye sababisho kabla hata ya kumuona mwenzio. hapa pana theory ya nusu nusu.

Sidhani kama nimekuelewa hapa,hebu fafanua!
 
Last edited by a moderator:
HP,unayosema ni kweli,lakini nakuambia matatizo yote yanasababishwa na kila mmoja kuwa na umimi na kumuona mwenzake mkosaji.Mambo haya yanasababisha mahusiano mengi kufa.Mnapokaa chini na kuzungumza baada ya kutokea tatizo,na mkajadiliana katika hali njema lazima mahusiano yenu yawe imara!
 
labda nifafaune kwa mfano huu ambao ni stail ya maisha ya nyumba fulan. katka familia moja kuna msemo wao ambao miye huupenda sana wanadai " kila kitu ni nusu nusu"

ukiingia katika familia hii ili ufurahie uwepo wako pale katika ile nyumba kama mgeni basi unatakiwa uwe unachangia nusu ya furaha yako. wakiwa na maana kwamba kama utafurahia 100% basi ujue wao kama wenyeji wako wanakupa only 50% ya furaha na 50% inatoka kwako.

ukiona pia hujafurah basi jiulize je 50%zangu nimezitumia ipasavyo? na je za wenzangu zimetumika ipasavyo? kama ukiingia halafu ukakaribishwa wa upendo ila usiridhike ina maana za kwako ndo zimepungua.

mimi katika hili huwa naona ni kweli hata kwenye mahusiano kwamba Gy kanikosea doesnt mean kwamba ni shetani, ina maana mimi kama mkewe nimechangia katika kosa hilo iwe direct ama indirect. so kila kosa liingiapo katika familia hebu baba na mama kaeni kila mtu ajiseme kabisa mimi hapa ndpo nilipokosea na nitaparekebisha hivi.
 
gfsonwin,nidai Amarula wakati wa lanchi!Hilo li positi hapo juu,kiboko.Laiti kama tungekua wakeli na tunaitaka amani tungeyajua hayo uliyosema.Mke anapokua kicheche taka usitake kuna mahali mume ameteleza,mume nae akiwa mgongaji ni hivyo hivyo!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin,nidai Amarula wakati wa lanchi!Hilo li positi hapo juu,kiboko.Laiti kama tungekua wakeli na tunaitaka amani tungeyajua hayo uliyosema.Mke anapokua kicheche taka usitake kuna mahali mume ameteleza,mume nae akiwa mgongaji ni hivyo hivyo!

haya basi rudi nenda kagonge like kisha nenda pm utakuta namba ya airte;l money sawa?

you are ma bro love you.
 
Sidhani kama nimekuelewa hapa,hebu fafanua!
Anachojaribu kukwambia ni kwamba makosa mengi tunayasababisha wenyewe,wewe na siyo partner wako.Ni kawaida kwa wanadamu kutafuta mtu wa kumlaumu mambo yanapoharibika(from Psychology point of view).kijana akishindwa maisha,anamlaumu mzazi wake hakumwandalia maisha.Hivyo hivyo kwenye mahusiano ,mtu anataka partner wake abadilike badala ya yeye kubadilika.Kumbuka ni virahisi kujibadilisha wewe kuliko kumbadilisha mwenzi wako.The solution to any problem is within yourself not within the other person.Ni mtazamo tu
 
Anachojaribu kukwambia ni kwamba makosa mengi tunayasababisha wenyewe,wewe na siyo partner wako.Ni kawaida kwa wanadamu kutafuta mtu wa kumlaumu mambo yanapoharibika(from Psychology point of view).kijana akishindwa maisha,anamlaumu mzazi wake hakumwandalia maisha.Hivyo hivyo kwenye mahusiano ,mtu anataka partner wake abadilike badala ya yeye kubadilika.Kumbuka ni virahisi kujibadilisha wewe kuliko kumbadilisha mwenzi wako.The solution to any problem is within yourself not within the other person.Ni mtazamo tu

Amefafanua hapo juu,lakini hii nayo ni nyongeza nzuri nimeipenda!
 
My sweetie dada gfsonwin,niko huku Buswelu nina kibarua cha kuchimba choo,nikipumzika ndo na-log in na mchina siwezi kugonga like.Ngoja nikishaipata hiyo namba nitakuDIPU ili nione kama sijaikosea!
 
Last edited by a moderator:
Hivi unadhani ni kwanini hatuelewani pamoja na kutambua hiyo tofauti?

Eiyer ukizungukia migogoro/tofauti ktk relationships utagundua kwamba zina-revolve around cheating na kudharauliana. Ukipata couple ambayo haina hivyo vitu viwili (yaani mume/bf hana na mke/gf hana) obviously utakuta wanaishi kwa amani/raha mustarehe
 
kama unataka k bila commitment nenda kanunue za machangu!

ah kwani wadhani mie nasisumbua kuimbishana na wanawake...wala sitaki shida mie na dada poa wangu safi kabisa. nyie mnaokuwa na matumaini kuwa wanaume watabadilika mtaendelea kulia tuu
 
Hizo zisizo na commitment zinauzwa mitaa ya Ohio, Lango la jiji na etc. Hapo hapo tukiziuza mnatuita machangu kweli nyinyi hamueleweki!

wewe usichanganye mambo...relationship bila commitment haimaanishi kuwa uuze K yako...can be sexmates/frends with benefits. the whole thing ni kwamba usijenge expectations ambazo mwanaume hawezi kuzitimiza
 
Back
Top Bottom