BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Kuna baadhi ya watu ambao wanatabia za chura inabidi niwaongelee hapa ili kama ni wewe urekebishe tabia yako. Utakuta mmepanda gari(busi la abiria) alafu basi lenyewe limejaa tele hadi wengine wamesimama hadi mlangoni....gari linapofika kituoni kwa mfano posta ambapo tunatakiwa wote tushuke, utakuta mtu amekaa kiti cha nyuma au katikati anakurupuka anataka kushuka wakati kuna watu wamesima hata hawajaanza kushuka wewe unaomba njia unataka kushuka wakati wote tumefika kituo cha mwisho na tunashuka wote.huu sio ustaarabu jirekebishe kama ulikuwa na haraka sana ungelala posta.