NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Ukijaribu kufikiria upya maneno ya Mwl Nyerere 'Mmi ninang'atuka lakin bila CCM madhubuti nchi itayumba' Maswali mengi yanajitokeza.
Kwa mfano nini alikusudia Mwl kwa neno CCM madhubuti? Ndio hii CCM tulionayo au nyingine? Je alikusudia chama chochote madhubuti au lazima CCM. Je manono yake bado yanafanya kazi ktk wakati tulionao na maswali mengine mengi.
Tujaribu kuchukua wakati kidogo kuyatathmini maneno ya Mwl upya na tutoe maoni yetu kwa maslahi ya taifa letu.
Kwa mfano nini alikusudia Mwl kwa neno CCM madhubuti? Ndio hii CCM tulionayo au nyingine? Je alikusudia chama chochote madhubuti au lazima CCM. Je manono yake bado yanafanya kazi ktk wakati tulionao na maswali mengine mengi.
Tujaribu kuchukua wakati kidogo kuyatathmini maneno ya Mwl upya na tutoe maoni yetu kwa maslahi ya taifa letu.