Wosia wa Mwalimu kwa watanzania huu hapa

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Nikikumbuka hii kauli ya Mwalimu Nyerere isemayo ‘Mimi nang’atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba’.

Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee

My take : Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani.
 
Nikikumbuka hii kauli ya Mwalimu Nyerere isemayo 'Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba'.

Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee

My take : Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani.


My Take: Umetupa hiyo habari huku hujui tafsiri yake, Hapo umeona pametajwa CDM,CUF,NCCR,TLP nk??? Wewe ni CCM kweli au ndio nyie vilaza wa vibaraka wa hao mafisadi,

Mwl. Nyerere alisha ona viongozi wa CCM walisha potoka na kuwa na mwelekeo sio mbovu kupindukia walipo pinga tu Azimio la Arusha na badala ya kuomba marekebisho wao wakaja na azimio lao na ndio hii Laana ya Mwl. inawakumba hao Viongozi wa CCM walio kaidi na itawapeleka kubaya sana. Bila CCM Madhubuti nchi itayumba bila kuwa na viongozi waadilifu makini na wazalendo nchi itayumba hapo wewe huja pata jibu kweli au unajaribu pindisha ukweli uwe uongo?
Me ni CCM wa damu ila sitosimama kutetea ujinga UFISADI WA HAWA VIONGOZI WALIPO MADARAKANI AKIJA JK NAMCHANACHANA PIA. na ndio maana tulifanya maamuzi makini mwanza mnji Nyamagana /Ilemela /Ukerewe/Arusha/Hai/Moshi mjn/ Kigoma na kwingineko na ndivyo itakavyo kuwa 2015 kama hao wa magamba hawato toka pia itakuwa ndio hivyo imefika wakati tumechoshwa na sera za wanamtandao ni fake since inthe beginning Mwl.Nyerere alisha wasema hao hawawezi na ndio yametimia wamekuwa ni viongozi wa porojo na uongo sera fake
 



My Take: Umetupa hiyo habari huku hujui tafsiri yake, Hapo umeona pametajwa CDM,CUF,NCCR,TLP nk??? Wewe ni CCM kweli au ndio nyie vilaza wa vibaraka wa hao mafisadi,

Mwl. Nyerere alisha ona viongozi wa CCM walisha potoka na kuwa na mwelekeo sio mbovu kupindukia walipo pinga tu Azimio la Arusha na badala ya kuomba marekebisho wao wakaja na azimio lao na ndio hii Laana ya Mwl. inawakumba hao Viongozi wa CCM walio kaidi na itawapeleka kubaya sana. Bila CCM Madhubuti nchi itayumba bila kuwa na viongozi waadilifu makini na wazalendo nchi itayumba hapo wewe huja pata jibu kweli au unajaribu pindisha ukweli uwe uongo?
Me ni CCM wa damu ila sitosimama kutetea ujinga UFISADI WA HAWA VIONGOZI WALIPO MADARAKANI AKIJA JK NAMCHANACHANA PIA. na ndio maana tulifanya maamuzi makini mwanza mnji Nyamagana /Ilemela /Ukerewe/Arusha/Hai/Moshi mjn/ Kigoma na kwingineko na ndivyo itakavyo kuwa 2015 kama hao wa magamba hawato toka pia itakuwa ndio hivyo imefika wakati tumechoshwa na sera za wanamtandao ni fake since inthe beginning Mwl.Nyerere alisha wasema hao hawawezi na ndio yametimia wamekuwa ni viongozi wa porojo na uongo sera fake

Usibishe na wosia wa mwalimu aliisha wahukumu nyie na ww katu huwezi kuwa mwana CCM usitake kupotosha watu humu JF. Labda useme wewe ni bubusa wa wapinzani ntakuelewa
 
Usibishe na wosia wa mwalimu aliisha wahukumu nyie na ww katu huwezi kuwa mwana CCM usitake kupotosha watu humu JF. Labda useme wewe ni bubusa wa wapinzani ntakuelewa

huo ni upuuzi wenu wana magamba,eti usibishe na wosia wa mwalimu,...trust me mwalimu alikua binadamu wa kawaida kama wewe_ambaye alikua anaongea kile anacho kiamini yeye na sio lazima na wewe ukiamini,...watu wasibishe kwa nini,..acha kuleta hoja za maji taka hapa jamvini
 
Nikikumbuka hii kauli ya Mwalimu Nyerere isemayo 'Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba'.

Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee

My take : Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani.

Wewe ndio kilaza kweli kweli!! Kumbe alitamka haya mwaka 1990! Vyama vya upinzani viliruhusiwa lini Tanzania? Huoni kuwa alimaanisha kuwa CCM ikiwa lege lege (kama ilivyo sasa), itazaa serekali legelege (kama ilivyop sasa na kama hata mwanasheria mkuu wa Serekali alivyokiri wakati akichangia hotuma ya Waziri wa Mambo ya Ndani) na hivyo unabii wa mwalimu umetimia?

Kauli hiyo ya mwalimu angeisema leo (kwenye mazingira ya vyama vingi) angesema... 'Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila Chama madhubuti kama CHADEMA nchi yetu itayumba'.....

Wasallaam!


 
Wewe hivi vitu unavisikia tu kwa watu, mwaka 1990 vyama vingi vilikuwa bado, kwa kumbukumbu zangu hayo yasisemwa wakati wa uchaguzi ndani ya ccm

<span style="font-family: Bodoni MT"><font size="3"><font color="#000000">Nikikumbuka hii kauli ya Mwalimu Nyerere isemayo ‘</font><b><i><font color="#339966">Mimi nang’atuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba’.</font></i></b></font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Bodoni MT"><font size="3"><font color="#000000">Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee</font></font></span><br />
<br />
<font size="3"><font color="#000000"><b><span style="font-family: Bodoni MT">My take :</span></b><span style="font-family: Bodoni MT"> Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani. </span></font></font>
<br />
<br />
 
Nyerere pia aliwahi sema ccm si mama yake, alimshangaa sana hayati kawawa akisema kuwa atakuwa mwanacha wa maisha wa ccm
 
huo ni upuuzi wenu wana magamba,eti usibishe na wosia wa mwalimu,...trust me mwalimu alikua binadamu wa kawaida kama wewe_ambaye alikua anaongea kile anacho kiamini yeye na sio lazima na wewe ukiamini,...watu wasibishe kwa nini,..acha kuleta hoja za maji taka hapa jamvini

Akili ya kwako huwezi kulinganisha hata kidogo na ya mwalimu, alikuwa na upeo wa ajabu na ukibisha juu ya hili ujue una wazimu . Na kwa hayo uliyoyaeleza hapo juu yaonyesha hata 0.00001% ya akili ya mwalimu hujafikia
 
Wewe ndio kilaza kweli kweli!! Kumbe alitamka haya mwaka 1990! Vyama vya upinzani viliruhusiwa lini Tanzania? Huoni kuwa alimaanisha kuwa CCM ikiwa lege lege (kama ilivyo sasa), itazaa serekali legelege (kama ilivyop sasa na kama hata mwanasheria mkuu wa Serekali alivyokiri wakati akichangia hotuma ya Waziri wa Mambo ya Ndani) na hivyo unabii wa mwalimu umetimia?

Wasallaam!



Yaani kweli ww ndio bubusa, aliyasema hayo ili hali akijua hicho kitu kinakuja cha vyama vingi akaamua kuvihukumu na kuvipa laana mapemaaa. Na hii ina maana kuanzia viongozi + wanachama+wapenzi
 
Nyerere pia aliwahi sema ccm si mama yake, alimshangaa sana hayati kawawa akisema kuwa atakuwa mwanacha wa maisha wa ccm

Alimshangaa ila alikufa akiwa ni mwanachama mwaminifu wa CCM, hujiulizi hapo ?
 
Akili ya kwako huwezi kulinganisha hata kidogo na ya mwalimu, alikuwa na upeo wa ajabu na ukibisha juu ya hili ujue una wazimu . Na kwa hayo uliyoyaeleza hapo juu yaonyesha hata 0.00001% ya akili ya mwalimu hujafikia
GeniusBrain,
Kama wewe ni genius kweli kumbuka kuwa Mwalimu vile vile aliweka caveat: kama CCM itashindwa kutoa uongozi bora Watanzania watautafuta kwingineko. Hicho ndicho kinachotokea sasa.
 
GeniusBrain,
Kama wewe ni genius kweli kumbuka kuwa Mwalimu vile vile aliweka caveat: kama CCM itashindwa kutoa uongozi bora Watanzania watautafuta kwingineko. Hicho ndicho kinachotokea sasa.

Sio laana ? unakumbuka hata wana wa Israel waliletewa mitume wengi, walipo waasi Mungu akawalani na kutapa tapa , huoni ndicho kinacho tokea sasa ?
 
<font color="#a52a2a"><b>Sio laana ? unakumbuka hata wana wa Israel waliletewa mitume wengi, walipo waasi Mungu akawalani na kutapa tapa , huoni ndicho kinacho tokea sasa ?</b></font>

Mungu hajawatupa kabisa Waisraeli, ndio maana juhudi za Waarabu za kuwaangamiza Waisraeli zimegonga mwamba kila wakati na wamekuwa frustrated!
 
GeniusBrain,<br />
Kama wewe ni genius kweli kumbuka kuwa Mwalimu vile vile aliweka caveat: kama CCM itashindwa kutoa uongozi bora Watanzania watautafuta kwingineko. Hicho ndicho kinachotokea sasa.

Hii CCM ya kuwalamba miguu mafisadi sidhani kama Nyerere angeendelea kuwa mwanachama, angeshajitoa muda si mrefu!
 
Mungu hajawatupa kabisa Waisraeli, ndio maana juhudi za Waarabu za kuwaangamiza Waisraeli zimegonga mwamba kila wakati na wamekuwa frustrated!

Huoni taabu wana wa israel wanazopata? hawaishi kwa amani na raha na wamezungukwa na maadui kila pande. Hizo ndizo laana za Mungu
 
<font color="#a52a2a"><b>Huoni taabu wana wa israel wanazopata? hawaishi kwa amani na raha na wamezungukwa na maadui kila pande. Hizo ndizo laana za Mungu</b></font>

Kwa hiyo Waarabu ambao hawajazungukwa na maadui wanaishi kwa amani?
 
Back
Top Bottom