GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Nikikumbuka hii kauli ya Mwalimu Nyerere isemayo Mimi nangatuka lakini naendelea kuamini kuwa bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba.
Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee
My take : Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani.
Wosia wa Mwalimu Agosti 1990 Diamond Jubilee
My take : Kwa wosia huu, Mwalimu aliisha walaani na kuwahukumu wapinzani kuwa katu nchi hii haiwezi kuchukuliwa na wapinzani.