World's newest snake discovered in Tanzania by a British scientist

Subirini kenya watasema huyo nyoka ni wao alitoroka kenya.
 
Neema...siku zote ukijua tabia ya mnyama hawezi kukudhuru....ni ule kutokuelewa ndio maana unasikia mtu ameng'atwa na nyoka....nakuhakikishia....nyoka hayupo kama unavyomfikiria....

Bila shaka katika maujuzi yote, umem exclude Koboko.
 
Usikute wagunduzi washamchukua wakamhifadhi kamailivyokuwa vyura wa kihansi.
Alafu kwa kuwa wao sio wa kwanza kumwona basi wawe wanawataja na wenyeji wa hayo maeneo ambao walikuwa wanawaguide uko msituni.
Acheni ubinafsi
 
Ni nzuri sana masha'allah!
Ila kinacho nishangaza ni kuona mzungu atoke kwao, aje aone nyoka alafu aseme ameidiscover yeye... hivi sisi hatukujua kua tuna nyoka kama huyo wakati tumeishi nayo miaka na milele? tushtuke jamani! huyo nyoka angeweza kuitwa Matwi au Mwali...

Dont start letting me down mwali, you can do and be better than that.
Well you know kwamba seeing na ku discover are distinguishable.
Ukiona bila ya kufanya documentation, au reporting unawezaji kuwa mvumbuzi?
Pamoja na yote, tulitegemea aseme watanzania wamegundua?
 
Ni nzuri sana masha'allah!
Ila kinacho nishangaza ni kuona mzungu atoke kwao, aje aone nyoka alafu aseme ameidiscover yeye... hivi sisi hatukujua kua tuna nyoka kama huyo wakati tumeishi nayo miaka na milele? tushtuke jamani! huyo nyoka angeweza kuitwa Matwi au Mwali...



Mwali would have been so appropriate... after al bado ni Mwali katika species....
 
Huyu kama ni mpya basi kazi ipo manake anafanana na Kifutu...

Nyoka ninayemzimikia niyule anayepaa... napenda uhodari wake but siwapendi nyoka
 
wakazi wa hilo eneo naona hawakuwa na jina la huyo nyoka
kilimanjaro aligundua mzungu kama wanavodai lkn wachaga walishaupa jina tangu zamani kilima kyaro
Mlima wa Mungu,iweje huyo nyoka? shame on u UDSM na SUA sijui wanatafiti nn hajawahi mtu kufanya phd ya nyoka wetu?
siadhani kama huyu nyoka ni mpya ni jamii ya kifutu.labda huyu bwana alogundua anaandika phd yake usanii umetumika tu kuits ugunduzi mpya
 
Dont start letting me down mwali, you can do and be better than that.
Well you know kwamba seeing na ku discover are distinguishable.
Ukiona bila ya kufanya documentation, au reporting unawezaji kuwa mvumbuzi?
Pamoja na yote, tulitegemea aseme watanzania wamegundua?
Sijabisha, wamediscover wenyewe. NIlicho taka kusisitiza ni kwamba tungefanya hizo juhudi za documentation labda hiyo nyoka ingeitwa Mwali...
 
Sijabisha, wamediscover wenyewe. NIlicho taka kusisitiza ni kwamba tungefanya hizo juhudi za documentation labda hiyo nyoka ingeitwa Mwali...
Wakuu, nchi ya Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi mno... Hata tufanyeje hatuwezi kufanya hizo documentary film. Hizi vitu vinahitaji pesa nyingi na muda mrefu wa kuyafanyia utafiti...

Wenzetu wana pesa zimewazidia ndio mana wanaweza kugharamia hayo mambo, sasa sisi uku Afrika kuna mambo mengi ya msingi kwanza kuwatimizia raiya mahitaji yao...

Tuna ambiwa kuwa tuna makabila zaidi ya 120, makabila yote hayo yanatakiwa kufanyiwa hizo documentary, tuna miti ya dawa kibao inatakiwa kufanyiwa doc, tuna mboga za majani ambazo tunazo sisi tu, zinatakiwa doc, kule ziwa Mara (Victoria) kuna samaki aina ya kamongo (Kambare mamba), samaki wa ajabu sana, anatakiwa pia kufanyiwa doc, kule ziwa Tanganyika kuna samaki mmoja anaitwa Umeme, ukimshika unapata shoti ya umeme naye anatakiwa kufanyiwa doc.. haitoshi tu, hata umaskini wetu unatakiwa kufanyiwa documentary (lol).

Waachane waje, ila wanapaswa kuwauliza wenyeji kwanza kama hivyo viumbe wanaviita majina gani, hii kusema kuwa wamevumbia ni kwasababu wanakuwa hawana documents au records zozote kuhusiana na viumbe hivyo.
 
Tanganyika ni Nchi iliyojaaliwa vitu vingi au karibia vyote ikiwemo uongozi mbovu, Tulitakiwa tuwe matajiri kupita nchi nyingi sana.

Wacha wamerekani wahamie Kigamboni
 
Eneo walipomwona nyoka huyo (sio kumgundua) wapo watanzania wanaoishi au walio karibu na hapo walipomwona. Kwa vyovyote watu hao wanalo jina la nyoka huyo. Kama wangekuwa na maono "wagunduzi" hao wangemwita kwa jina hilo hilo wanalomwita watu wa eneo hilo.
 
Back
Top Bottom