Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Wanaume huwa wanajikojolea kabisa! Kama sio kuhara!Nasikia wanawake wengine wakistuka kwa woga wanajikuta wameshafika kwenye unajimu bila kujijua. Vipi, uko sawa dada?
Wanaume huwa wanajikojolea kabisa! Kama sio kuhara!Nasikia wanawake wengine wakistuka kwa woga wanajikuta wameshafika kwenye unajimu bila kujijua. Vipi, uko sawa dada?
@ semeji Sikonge wee ni msanii Lol!!! hahaaaaaa!!! I was tryin to imagine the incidence.
Hata picha! je mwenyewe!naomba utembelee mbuga zetu utawaona live na uoga utakutokaDah karibia nitupe taptonga mambo gani haya, nimeogopa.
Dah karibia nitupe taptonga mambo gani haya, nimeogopa.
Wanaume huwa wanajikojolea kabisa! Kama sio kuhara!
shemeji mie sijabonyeza kitufe cha play baada ya kuona comments mpaka hata wewe mwenyewe umeogopa
staki kuota usiku mie lol!!!
sasa viboko na mamba si hatari pia we shem unafanya mchezo.......afu sijui kwa nini unataka vekeshi kule, mbona kama kunatisha???
Basi shem tutaenda Ibadakuli....usukumani huko. Na usiogope...ntabeba kamguu kangu ka kuku. Utakuwa salama salimini kabisa ndani ya mikono yangu.
Shemeji, bahati mbaya kwako ni kuwa hii kitu iliyotekea kweli kabisa nikiwa Mazengo. Alikuwepo kijana aliteleza kwenye ngazi za kuingilia MESS.
It was something like this .... hii inaanzia nyuka ya asubuhi na kumalizia gima na beans za usiku zenye wadudu kibaoooo.......
Dayyym, you shyt-scared me dawg! lol
shem hapo umeongea, uamuzi mzuri sana labda ntapata na wasaa wa kenda ukweni
Ibadakuli hamna nyoka lakini shem?? nawaogopa sana hao mimi!!!
BTW: Jana ulibatizwa tena au???
Huyo(Nyani Ngabu) ndo shemeji yako wa ukweli sasa,yupo yeye na Ng'waninyami(Hope naye ataibuka soon)
huyo ni yupi tena yailai toba??
ukoo mpana huu!!!
shem hapo umeongea, uamuzi mzuri sana labda ntapata na wasaa wa kenda ukweni
Ibadakuli hamna nyoka lakini shem?? nawaogopa sana hao mimi!!!
BTW: Jana ulibatizwa tena au???