Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Pinda ameingia kwenye record ya dunia kwa kulia hadharani bila sababu za msingi akiwa waziri mkuu.
Anaendelea kulalamika hadharani kwa mambo ambayo anatakiwa kuyatolea maamuzi... anataka madiwani wawajibishe wakurugenzi ambao wameteuliwa na rais (mwenye mamlaka yanayopungua kidogo tu kwa mamlaka ya Mungu) wakati wakurugenzi ni waajiriwa walio chini yake (TAMISEMI)
Anaendelea kulalamika hadharani kwa mambo ambayo anatakiwa kuyatolea maamuzi... anataka madiwani wawajibishe wakurugenzi ambao wameteuliwa na rais (mwenye mamlaka yanayopungua kidogo tu kwa mamlaka ya Mungu) wakati wakurugenzi ni waajiriwa walio chini yake (TAMISEMI)