wageni gani hao mpaka tufungiwe barabara??
Naona tuwaunge mkono TUCTA - Tuanze mgomo mapema kesho, wewe fikiria barabara zipo 3 tu, sasa ufunge moja ubaki na 2 hiyo foleni sijui itakuwaje?
Hivi hakuna njia nyingine mbadala huko Tanzania mpaka kufunga barabara na kuzuia wazawa wasifaidi matunda ya uhuru wao?
Nimeisikia hii habari katika radio leo asubuhi kuwa barabara ya Nyerere na Ali Hassani Mwinyi zitafungwa ili kuwapisha wageni wanaokuja kwenye mkutano wa maedeleo Africa.
Je,hii imekaaje waungwana?
6am-9am and 3pm-7pm Ali Hassan Mwinyi Road will be closed, Ohio closed off/on ,Nyerere road closed off/on.
· Mwenge area near mlimani city,Buguruni ,Uhuru and the city centre will be impassable during certain hours.
muda ndo huo hapo 12-3 asubuhi, na jioni saa 9-1 usiku kuazia tarehe 4-7 May 2010 mbona mtakoma uko dar?