Workshop on Cyber Security and its effect on government and corporates

baju

Member
Oct 16, 2009
6
0
Kutakuwa na workshop kubwa ya ulinzi wa mtandaoni (cyber security) na athari zake katika makampuni na mashirika mbali mbali. Workshop hii inatarajiwa kufanyika Morogoro (Morogoro Hotel) kwa siku tatu (26th, 27th na 28th of January, 2011). Workshop hii inaandaliwa na IFM chini ya faculty of Computer science, Informatics and Maths.

Lengo kubwa la workshop ni kuwapa maarifa washiriki, aina mbali mbali za mashambulizi ya mtandao (cyber attacks) na namna ya kujilinda nayo. Tumeshuhudia madhara ya haya mashambulizi kwenye serikali mbali mbali na kwenye kwenye makampuni binafsi, vile vile workshop itaangalia upya cyber security settings zetu kujilinda na mashambulizi ya mtandao yanayokuja.

Maudhui yafuatayo yatazungumziwa:

Overview of cyber security
Cyber security basics
Tools and technisues used in Cyber attacks.
Financial Crimes
Countermeasures
Legal aspect for cyber security
Preparing security policy.

Wazungumzaji wakubwa ni:
Prof. George Oreku (mtaalamu wa security Tirdo)
Dr. Eliamani Sedoyeka (mtaalamu wa security IFM)
Mr. Mohamed Kira (mtaalamu wa security IFM)

Walengwa wa hii workshop ni wadau wote wa IT serikalini na makampuni binafsi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Dr. Eliamani Sedoyeka (tel: 0784383844, email: huyder@yahoo.com) au Bajuna Salehe (tel: 0789846059/0718062899, email: bajuna.salehe@gmail.com) au Mohammed Saleh (tel: 0715970970, email: m.saleh030@googlemail.com)
 
Kutakuwa na workshop kubwa ya ulinzi wa mtandaoni (cyber security) na athari zake katika makampuni na mashirika mbali mbali. Workshop hii inatarajiwa kufanyika Morogoro (Morogoro Hotel) kwa siku tatu (26th, 27th na 28th of January, 2011). Workshop hii inaandaliwa na IFM chini ya faculty of Computer science, Informatics and Maths.

Lengo kubwa la workshop ni kuwapa maarifa washiriki, aina mbali mbali za mashambulizi ya mtandao (cyber attacks) na namna ya kujilinda nayo. Tumeshuhudia madhara ya haya mashambulizi kwenye serikali mbali mbali na kwenye kwenye makampuni binafsi, vile vile workshop itaangalia upya cyber security settings zetu kujilinda na mashambulizi ya mtandao yanayokuja.

Maudhui yafuatayo yatazungumziwa:

Overview of cyber security
Cyber security basics
Tools and technisues used in Cyber attacks.
Financial Crimes
Countermeasures
Legal aspect for cyber security
Preparing security policy.

Wazungumzaji wakubwa ni:
Prof. George Oreku (mtaalamu wa security Tirdo)
Dr. Eliamani Sedoyeka (mtaalamu wa security IFM)
Mr. Mohamed Kira (mtaalamu wa security IFM)

Walengwa wa hii workshop ni wadau wote wa IT serikalini na makampuni binafsi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Dr. Eliamani Sedoyeka (tel: 0784383844, email: huyder@yahoo.com) au Bajuna Salehe (tel: 0789846059/0718062899, email: bajuna.salehe@gmail.com) au Mohammed Saleh (tel: 0715970970, email: m.saleh030@googlemail.com)
 
Kutakuwa na workshop kubwa ya ulinzi wa mtandaoni (cyber security) na athari zake katika makampuni na mashirika mbali mbali. Workshop hii inatarajiwa kufanyika Morogoro (Morogoro Hotel) kwa siku tatu (26th, 27th na 28th of January, 2011). Workshop hii inaandaliwa na IFM chini ya faculty of Computer science, Informatics and Maths.

Lengo kubwa la workshop ni kuwapa maarifa washiriki, aina mbali mbali za mashambulizi ya mtandao (cyber attacks) na namna ya kujilinda nayo. Tumeshuhudia madhara ya haya mashambulizi kwenye serikali mbali mbali na kwenye kwenye makampuni binafsi, vile vile workshop itaangalia upya cyber security settings zetu kujilinda na mashambulizi ya mtandao yanayokuja.

Maudhui yafuatayo yatazungumziwa:

Overview of cyber security
Cyber security basics
Tools and technisues used in Cyber attacks.
Financial Crimes
Countermeasures
Legal aspect for cyber security
Preparing security policy.

Wazungumzaji wakubwa ni:
Prof. George Oreku (mtaalamu wa security Tirdo)
Dr. Eliamani Sedoyeka (mtaalamu wa security IFM)
Mr. Mohamed Kira (mtaalamu wa security IFM)

Walengwa wa hii workshop ni wadau wote wa IT serikalini na makampuni binafsi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Dr. Eliamani Sedoyeka (tel: 0784383844, email: huyder@yahoo.com) au Bajuna Salehe (tel: 0789846059/0718062899, email: bajuna.salehe@gmail.com) au Mohammed Saleh (tel: 0715970970, email: m.saleh030@googlemail.com)
 
Kutokana na logistics zilizopo kutakuwa na gharama. Kwani workshop itakuwa more hands-on na some tools zitatumika for demos. Hivyo gharama zipo. Kwa mtu mmoja itkuwa ni 900,000/= ambayo itacover huduma zote za workshop isipokuwa malazi na usafiri ambayo mshiriki atajitegemea. Mwisho wa malipo ni tarehe 24/1/2011. Lipa kupitia account ya IFM acc no 01J1042984102 CRDB Bank au kwa cheki (The Rector IFM)
 
Kutokana na logistics zilizopo kutakuwa na gharama. Kwani workshop itakuwa more hands-on na some tools zitatumika for demos. Hivyo gharama zipo. Kwa mtu mmoja itkuwa ni 900,000/= ambayo itacover huduma zote za workshop isipokuwa malazi na usafiri ambayo mshiriki atajitegemea. Mwisho wa malipo ni tarehe 24/1/2011. Lipa kupitia account ya IFM acc no 01J1042984102 CRDB Bank au kwa cheki (The Rector IFM)
 
Back
Top Bottom