patricia Kichao
Member
- Oct 15, 2012
- 27
- 2
Mimi nataka nijue sheria inasemaje kuhusu makampuni kuajiri foreigners.
Kama jana tumepata habari kampuni ya Sanctuary lodges (iko chini ya Abercombie & kent) kule Swala Camp manager ambaye ni Kaburu kumpiga mfanyakazi hadi kuzirai. Wafanyakazi wote wamegoma kufanya kazi.
Je, serekali uwa inaangalia sheria za kuajiri wafanyakazi. na huoni kama huyu kaburu ana jiamini sana mpaka kumpiga mtanzania hadi kuzirai? inamaana sheria iko chini yake. Bila uwoga na anajua kabisa yuko nchi ya watu. huyu jamaa anafaa apewe 24hrs to get out of our country. unakuta kampuni moja inaajiri foreigners zaidi ya 20. Kazi hizo hizo wabongo wanaweza kufanya. Na wanaotoa permits ni immigration wanakiuka kbisa sheria.
Hii nchi imenichosha jamani, sheria iko wapi? kama ni hivo basi wasitunge sheria kwasababu wanazitunga na wao wao hazitendei haki ndio maana tuanka chama kingine kiingie ikulu tuone mabadiliko.
Watanzania tusiogope kujaribu, makampuni mengi sana hapa Arusha ya kitallii wanaajiri wazungu. Je hakuna watanzania wao weza kufanya hizo kazi? Na sheria inasemaje kuhusu kuajili foreigners? lazima kuna limit no ya kuwaajili? Kazi ya camp manager supervision kweli watanzania hawaiwezi kweli????
Kama jana tumepata habari kampuni ya Sanctuary lodges (iko chini ya Abercombie & kent) kule Swala Camp manager ambaye ni Kaburu kumpiga mfanyakazi hadi kuzirai. Wafanyakazi wote wamegoma kufanya kazi.
Je, serekali uwa inaangalia sheria za kuajiri wafanyakazi. na huoni kama huyu kaburu ana jiamini sana mpaka kumpiga mtanzania hadi kuzirai? inamaana sheria iko chini yake. Bila uwoga na anajua kabisa yuko nchi ya watu. huyu jamaa anafaa apewe 24hrs to get out of our country. unakuta kampuni moja inaajiri foreigners zaidi ya 20. Kazi hizo hizo wabongo wanaweza kufanya. Na wanaotoa permits ni immigration wanakiuka kbisa sheria.
Hii nchi imenichosha jamani, sheria iko wapi? kama ni hivo basi wasitunge sheria kwasababu wanazitunga na wao wao hazitendei haki ndio maana tuanka chama kingine kiingie ikulu tuone mabadiliko.
Watanzania tusiogope kujaribu, makampuni mengi sana hapa Arusha ya kitallii wanaajiri wazungu. Je hakuna watanzania wao weza kufanya hizo kazi? Na sheria inasemaje kuhusu kuajili foreigners? lazima kuna limit no ya kuwaajili? Kazi ya camp manager supervision kweli watanzania hawaiwezi kweli????