Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
hahahaha!
ndo maana mi nasema GIFT wangu akianza chuo nitaomba mungu anichukue....!nikiyafikiria yaliyotokea nikiwa nasoma NAPATA PRESHA
Mimi Matesha wangu kwa kweli kila siku napiga rozari mafungu ya utukufu, na kumsomea litania ya bikira Maria na ya Watakatifu wote. Mungu amfungulie njia awe sista Maria Magdalene! Ule upupu wanaofanyiwa mabinti vyuoni sitaki kuiona picha yake ikitokea kwa mwanangu!