Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Nimesoma hii clip na kujiuliza sana.
Huu uteuzi una tija kwa taifa kweli?
Kutoka PS hadi Hadi mtendaji Mkuu wa Mahakama?
Wapi na wapi?
Nilidhani Post hiyo ya mahakama inahitaji mtu anayejua sheria kidogo?
Kweli kila kitu kinawezekana Tanzania.
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA, MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI - Global Publishers
Huu uteuzi una tija kwa taifa kweli?
Kutoka PS hadi Hadi mtendaji Mkuu wa Mahakama?
Wapi na wapi?
Nilidhani Post hiyo ya mahakama inahitaji mtu anayejua sheria kidogo?
Kweli kila kitu kinawezekana Tanzania.
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA, MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFANI - Global Publishers