King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Afu wajameni hivi mnaonaje haya ma perfume...mimi mwenzenu naona kama ni vibaya kupulizia perfume kama nina meeting na mtu niso mjua...labda business kwani kuna mtu unaweza mfanya apige chafya mwanzo mwisho mpaka uone vibaya kilichokutuma kupuliza haya ma perfume.
Najua kuna perfume hazina harufu kali...lakini mostly ni za wanaume..
Kuna maduka pale Quality plaza yanauza nadhani udi...aisee mie uwa nayapitia mbali sana maana kitakachofuata ni chafya tu. Lol.
a mild cologne is always nice. Try euphoria by cK, ama play by givency. And dont overdo it. Ila udi nao, mi nikiskia harufu yake i presume mtu anaficha uchafu na naskia kutapika kabisa. Sijui labda sijazoea hang na watumiaji wazuri