Women with high estrogen levels more likely to cheat.....

Mama Ashrat
Msome nyumba kubwa vizuri, nakubaliana naye kwa kiasi kikubwa (kwani sikubaliani na interpretation ya results hapo juu, kuwa high level ya estrogen kwa wadada ndiyo yasababisha cheating); amedadavua possible sababu za cheating kwa both wasichana na women in their mid 40s!

Na kuna link, ambayo Super moderetor ameufukua ambapo kulikuwa na same case. Mdada amekuja na soln ambayo hainvolve cheating ili kusatisfy her sex urge! Creativity hiyo imekuwa influenced by LOVE kwa mumewe kwani hakutaka kumsaliti (kumcheat).

So l totally agree with u n ur hubby; kuwa penzi la kweli linaconcur all!
Kaunga hata mimi nimemsoma hapo juu na kwa kiasi chakutosha nakubaliana nae. Wanawake na wanaume wanapishana kwa kiasi kikubwa linapokuja swala la sex. Ujanani mabinti na vijana wote wanakua moto, inapofika muda wa kuoa na kuolewa vijana wanaendelea vile vile wakati kwa mabinti (sio wote) wao wanapunguza na ndipo malalamiko ya 'mke wangu haniridhishi/hataki kunipa haki yangu' yanaanza, then kinakuja kipindi cha monopouse wakati wanaume wengi wanaanza kupunguza perfomance wakati mama ndo kwanza hamu ime-multiply.

Ila nyakati zote hizo mmoja akijiendekeza lazima amtende mwenzake. Inapotokea sasa kwamba baba alimvumilia mama wakati yeye yupo kwenye "kipindi chake cha mpito" kwanini mama asiweze kumvumilia baba?
 
Last edited by a moderator:
kweli hii gemu unafiki mtupu ila sometimes usipofeki utaonekana wewe sugu.....
so unamtia moyo muda uende besides no big deal over there up na down 3 minutes byeee

i like sex, i like very much huyo wa dakika tatu nadhani ningemuacha siku ya kwanza, umenikumbusha ex wangu nilijitahidi kumvumlia ikashindakana,ilbidi nimuache kuliko kuendelea naye halafu nikamcheat, uwezi amini kila baada ya ku do ilibidi nijifanyie selfservice,
 
i like sex, i like very much huyo wa dakika tatu nadhani ningemuacha siku ya kwanza, umenikumbusha ex wangu nilijitahidi kumvumlia ikashindakana,ilbidi nimuache kuliko kuendelea naye halafu nikamcheat, uwezi amini kila baada ya ku do ilibidi nijifanyie selfservice,
dah si ungemfundisha? mimi siwezi kumuacha mwanaume kwa sababu ya poor perfomance in bed .... kama ananipenda kiukweli kabisa kwa dhati nitamfundisha mdogo mdogo .....
 
Oh yeah? So did you give it to her like there's no tomorrow...?

hahaaaa
labda nikuulize
wanawake wanafanya plastic surgery kama za anti aging surgery si lazima pia waongezwe estrogen?
so nao wanaathirika na hii theory?
 
hahaaaa
labda nikuulize
wanawake wanafanya plastic surgery kama za anti aging surgery si lazima pia waongezwe estrogen?
so nao wanaathirika na hii theory?

Oh yeah...ever heard of hormone replacement therapy?

Menopause is the time in a woman's life when her period stops. It is a normal part of aging. In the years before and during menopause, the levels of female hormones can go up and down. This can cause symptoms such as hot flashes and vaginal dryness. Some women take hormone replacement therapy (HRT), also called menopausal hormone therapy, to relieve these symptoms. HRT may also protect againstosteoporosis.

Source
 
dah si ungemfundisha? mimi siwezi kumuacha mwanaume kwa sababu ya poor perfomance in bed .... kama ananipenda kiukweli kabisa kwa dhati nitamfundisha mdogo mdogo .....

Pumzi haifundishwi!....labda ushauri..kwanza walau mazoezi...ugali wa maana, tu chips, tu sausage hata mi aahaa... ni kupakana shombo tu lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom