convising power iwepo....
Kaunga & nyumba kubwa,no sex no marriage au?
umeona eeeh mi nakwambia wanawake wanaolalwa daily rate yao ya kucheat ni kubwa
Mama Ashrat kwetu sex sio namba moja. Namba moja ni penzi katika shida na raha.Kama sex haina kipaumbele basi uvumilivu na kusaidiana kunahusika sana ndio maana nikasema kama sex sio muhimu sana(yani sio namba moja) mnaweza mkaendelea kusiwe na kucheat. Ngoja Baba Ashrat nae aje aweke senti zake hapa nijue anachukuliaje hili swala. Usikute mwenzangu siku perfomance ikishuka tu ndio nimempoteza.
Mama Ashrat kwetu sex sio namba moja. Namba moja ni penzi katika shida na raha.
Mbali na hayo, I was wondering if a high sexual appetite means necessarily the subject is more likely to cheat...je wanaume wenye high testosterone ???????
na kama mwanaume hana appetite kubwa ya sex...je aongeze testosterone ????????
kuwa na more testosterone nyingi kwa mwanaume ina guarantee uwezo kitandani??????
. Lakini wamama umri unapoenda nyege zinazidi na huku wengi wao waume zao ndo kipindi cha kuugua visukari na BP. Ndo maana wanatafuta viserengeti.
I adore you both Mama Ashrat n Baba Ashrat love is everything!
Mbali na hayo, I was wondering if a high sexual appetite means necessarily the subject is more likely to cheat...
mmh, hii mbona kama inapingana na hali halisi on the ground? wanawake wengi wanapofikia menopause hamu ya ngono inapungua wakati wanaume (kama siyo mgonjwa) ndiyo kwanza kunakuwa kumekucha, wake wa pili plus nyumba ndogo na watoto wa uzeeni ndiyo wanapopatikana nyakati hizo...
hapana ze boss wingi wa hormone na uwezo kitandani ni vitu viwili tofauti...je wanaume wenye high testosterone ???????
na kama mwanaume hana appetite kubwa ya sex...je aongeze testosterone ????????
kuwa na more testosterone nyingi kwa mwanaume ina guarantee uwezo kitandani??????
Smile,leo unasema umeokoka ngoja siku mbili zipite,utakuja na siredi,mara ooh jamaa yangu sijui kafanya vile mara hivi!
hawapo hata mimi nasaportIn most cases wanawake wana uwezo na huruma ya kuvumilia mume asiye perform; ila wanaume mke akiugua akawa hawezi kumtimizia lazima achape nje. Akiwa na staha ataendelea kuwa na mkewe na ka small pembeni. Akiwa ndo wale wale basi na talaka utatwangwa.
Kama kuna mwanaume mwenye uwezo wa kutimiza ahadi ya katika shida na raha nampa pongezi; ila siamini kama yupo.