Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 226
acha kabisa!!!!
jamaa alimalizia kwenye gari, si purukushani akakata shanga za binti wa watu!! zikamwagikia kwenye gari.
Mbona ilibidi akapark gari petrol station na kwenda kudai kwa my wife wake kuwa gari mbovu.........vile vipunje vya shanga utavisafishaje visibaki????
khaaaa!!!