Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hapan chezea prezdaa! Prezdaa mega muke ya Bishanga. Boksi oyeeee
Kamanda, hivi ulidhani natania kila nisemapo mke wa jamaa ni demu wangu?
Yaani tukipata wanaume angalau 100 tu kila mkoa wanaojivua gamba hivi mbona tutaishi kwa raha? mnatusumbua sana na nyie, hamjui tuKuanzia leo sitaki kusikia habari ya wanawake,nasema staki.
Ole wako uniulize kwa nini,staki nasema staki,period.
maneno hayooo. Ahsante sana Asprin
Hayajakukuta wewe....subiri.
Ushawahi kumnunulia mwanamke gari kisha ukapigiwa simu kuwa hilo gari limeonekana coral beach hotel ukimpigia anakwambia eti yuko riverside kwenye kikao cha harusi? Hawa viumbe hawa!
mkuu,take my word,hawa viumbe sio wa kuamini kabisa,i am telling you,mwanamke wa kuamini ni mamako aliyekuzaa tu,mkeo sio mama yako.
Kuanzia leo sitaki kusikia habari ya wanawake,nasema staki.
Ole wako uniulize kwa nini,staki nasema staki,period.
Sasa mbona hujanichum my dear?
Hayajakukuta
wewe....subiri.
Ushawahi kumnunulia mwanamke gari kisha ukapigiwa simu kuwa hilo gari
limeonekana coral beach hotel ukimpigia anakwambia eti yuko riverside
kwenye kikao cha harusi? Hawa viumbe hawa!
Kuanzia leo sitaki kusikia habari ya wanawake,nasema staki.
Ole wako uniulize kwa nini,staki nasema staki,period.
Kamanda, hivi ulidhani natania kila nisemapo mke wa jamaa ni demu wangu?