Msamehe jamani. Ni "shetani" tu alimpitia! Lol
Kaka wanawake ni pasua kichwa hata SL ananiumiza kichwa
Madhara ya kupigwa vibuti haya...!
I love them women.... All of them.
Kuanzia leo sitaki kusikia habari ya wanawake,nasema staki.
Ole wako uniulize kwa nini,staki nasema staki,period.
i can be changed by what happens to me......i used to trust them....but now i have changed.
Hayajakukuta wewe....subiri.
Ushawahi kumnunulia mwanamke gari kisha ukapigiwa simu kuwa hilo gari limeonekana coral beach hotel ukimpigia anakwambia eti yuko riverside kwenye kikao cha harusi? Hawa viumbe hawa!
Hapa hakuna PM mambo yote
ni hazarani tu.
Endeleeni basi. Nimeshindwa hata kunywa chai kusudi nishuhudie hii kizungumkuti.
Endeleeni basi. Nimeshindwa hata kunywa chai kusudi nishuhudie hii kizungumkuti.
Madhara ya kupigwa vibuti haya...!
I love them women.... All of them.
Kuanzia leo sitaki kusikia habari ya wanawake,nasema staki.
Ole wako uniulize kwa nini,staki nasema staki,period.
Kamanda, hivi ulidhani natania kila nisemapo mke wa jamaa ni demu wangu?Ayaaaa! Ushafumania?
Nani kakumegea, Nyani Ngabu au?
Pole muzee.... Ndo ukome na ujue kuwa kila mla vya watu na vyake huliwa.
Hayajakukuta wewe....subiri.
Ushawahi kumnunulia mwanamke gari kisha ukapigiwa simu kuwa hilo gari limeonekana coral beach hotel ukimpigia anakwambia eti yuko riverside kwenye kikao cha harusi? Hawa viumbe hawa!