Na nyinyi kujigeuza mashoga na kutuibia waume hamuoni mnatuingilia?
sarafina,
nisawa kwa mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile?
unamaanisha asili inataka kiungo hicho kitumike kumridhisha mwanamume ee?( i hate gays)
Hiyo nyekundu ni subjective to imani ya mtu. Hivi unadhani kila mtu anaamini katika hiyo stori??!!!! Hapo kwenye bluu ndiyo umeongea pointi. Kwa maneno mengine huwezi kusema mwanaume ni strong eti kwa sababu anaweza ku-ejaculate, then kurutubisha yai hadi mtoto akapatikana. Hizo ni biological accidents tu ambazo mwanamke au mwanaume hawana control nazo.Kubeba mimba miezi tisa na kuzaa watoto hiyo ilikuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa kile walichokifanya - kuchuma na kula tunda la mti wa katikati. Labda God made mistake kuwafanya hivyo.
After all those are biological roles kama wewe ulivyokuwa na biological roles ambazo yeye hawezi kuzifanya!
kwanza mi naona hawa wanaume hata kupewa kuwa kichwa cha familia hawakudeserve kwa sababu ni wadhaifu na wenyewe huwa wanakiri kuwa ni wadhaifu sasa mdhaifu atakuwaje kichwa cha familia???unakuta kichwa cha familia hakijielewi wala hakijitambui,mlevi mzinzi hajali watoto aghhhhhhhhhhhhhhhh anakuwa na tittle hana roles.............mwanamke anakuwa ndo kichwa cha familia kwa kutunza watoto wake baada ya kichwa cha familia kupasuka.........kuna anayebisha?????? wanawake oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kwanza mi naona hawa wanaume hata kupewa kuwa kichwa cha familia hawakudeserve kwa sababu ni wadhaifu na wenyewe huwa wanakiri kuwa ni wadhaifu sasa mdhaifu atakuwaje kichwa cha familia???unakuta kichwa cha familia hakijielewi wala hakijitambui,mlevi mzinzi hajali watoto aghhhhhhhhhhhhhhhh anakuwa na tittle hana roles.............mwanamke anakuwa ndo kichwa cha familia kwa kutunza watoto wake baada ya kichwa cha familia kupasuka.........kuna anayebisha?????? wanawake oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nyani suala la kukandamiza au kutokandamiza ni muono (perspective) tu. kwa sababu unaweza kukuta kuwa hali ileile ambayo wewe unaona ni ukandamizaji mwingine anaweza kuona ni upendeleo. Kwa hiyo basi huwezi kusema dini zina support ukandamizaji bali ni kuwa dini zina mifumo yake ambayo of course ni sahihi kabisa kwa mujibu wa watu wenye kuzifuata japokuwa kwa watu ambao wangependa kuona papa/sheikh wa kike wataona kuwa ni ukandamizaji.Lakini kwa nini dini kama nyingi kama si zote zina mfumo dume? Nimejaribu kufanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba viongozi wa juu kabisa katika dini nyingi huwa ni wanaume.
Kwa mfano sijawahi kuona mahala popote pale kama kuliwahi kuwepo na papa wa kike....na hata siku moja sijawahi sikia eti kuna shehe wa kike. Hivi ni kwa nini hii?
Ndo kusema kwamba dini nazo zinashiriki katika kukandamiza jinsia ya kike? Halafu sasa utakuta waumini wengi kweli ni wanawake...
Shangingi bana teh teh teh.kwanza mi naona hawa wanaume hata kupewa kuwa kichwa cha familia hawakudeserve kwa sababu ni wadhaifu na wenyewe huwa wanakiri kuwa ni wadhaifu sasa mdhaifu atakuwaje kichwa cha familia???unakuta kichwa cha familia hakijielewi wala hakijitambui,mlevi mzinzi hajali watoto aghhhhhhhhhhhhhhhh anakuwa na tittle hana roles.............mwanamke anakuwa ndo kichwa cha familia kwa kutunza watoto wake baada ya kichwa cha familia kupasuka.........kuna anayebisha?????? wanawake oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nyani suala la kukandamiza au kutokandamiza ni muono (perspective) tu. kwa sababu unaweza kukuta kuwa hali ileile ambayo wewe unaona ni ukandamizaji mwingine anaweza kuona ni upendeleo. Kwa hiyo basi huwezi kusema dini zina support ukandamizaji bali ni kuwa dini zina mifumo yake ambayo of course ni sahihi kabisa kwa mujibu wa watu wenye kuzifuata japokuwa kwa watu ambao wangependa kuona papa/sheikh wa kike wataona kuwa ni ukandamizaji.
Haya sasa Lizzy kaamka........ngoja tuone huu mpambano lolUna uhakika kwamba wanawake WOTE wako weak kiakili na kimwili hivyo kuwafanya wanaume WOTE wawe strong kwenye hayo mawili?!
Wewe tu hapo ulipo wapo wanawake ambao huwezi kushindana nao kiakili na ukifanya mchezo wapo wanaoweza kukutembezea kichapo/kufanya shughuli unazoziona ngumu bila kuhangaika na kupigania haki sawa wala kuwa na mawazo hayo.
Wanawake wangekua weak kama '‘unavyodai" nakuhakikishia kwamba dunia ingekua imepelea watu badala ya kuzidiwa na wingi wa watu.
Haya sasa Lizzy kaamka........ngoja tuone huu mpambano lol
Una uhakika kwamba wanawake WOTE wako weak kiakili na kimwili hivyo kuwafanya wanaume WOTE wawe strong kwenye hayo mawili?!
Wewe tu hapo ulipo wapo wanawake ambao huwezi kushindana nao kiakili na ukifanya mchezo wapo wanaoweza kukutembezea kichapo/kufanya shughuli unazoziona ngumu bila kuhangaika na kupigania haki sawa wala kuwa na mawazo hayo.
Wanawake wangekua weak kama '‘unavyodai" nakuhakikishia kwamba dunia ingekua imepelea watu badala ya kuzidiwa na wingi wa watu.
Wanawake wangekuwa sawa na wanaume wangetulia. wanaposema wanadai haki sawa a.k.a kuwa sawa na wanaume ni kithibitisho tosha kwamba wamejiona wapo weak. Labda mtuambieni kama mnataka kuiua jinsia yenu ili wote tuwe wanaume. Kuhamia upande wa adui yako ni sign of failure.
Nani aliyekuambia kwamba kutafuta haki sawa ni kithibitisho cha kuwa dhaifu?
Wanaotafuta haki sawa wanafanya vile kuondokana na ukandamizaji/mfumo dume kwasababu wanaamini kwamba hata wao ni strong enough kufanya yale ambayo wanaonekana hawawezi e.g kufanya maamuzi binafsi. Sasa kama tafsiri yako ya mtu kuonyesha kwamba hayuko unavyomdhani ni kuwa dhaifu nahitaji darasa la kiswahili.
Hivi wanawake huwa wanatafuta haki sawa au upendeleo. Kwa sababu katika reality men and women can not be equal!!
Hivi wewe unaelewa maana ya haki sawa?!Je tofauti kati ya HAKI SAWA na USAWA?!
Nna imani kwamba ungekua unajua hicho ulichoongea hapo juu ungekiona hakina mshiko!!Na kuhusu kulinganisha upendeleo na usawa kunatoka wapi?! Ina maana mwanamke akiomba kazi kwenyr construction site nae abebe zege kwasababu uwezo huo anao atakua anaomba upendeleo?! Akitaka awe anafanya maamuzi muhimu yanayomhusu mwenyewe anaomba upendeleo?! Akitaka kuwa rais akagombea kama wengine na kushinda kihalali anakua amependelewa?!
Jaribu tena maana mpaka ulipofikia sijaona ukithibitisha madai yako!