Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
khaaaaaa muacheni hubby wetu! ukaguzi kwake suna, lol jg mzima wewe??
Mi ako poa tu! Naona tangu uondoke na taji la umiss cc umekua ghali kidogo!
Nway naona unamtetea Dc , sasa nimeanza kupata hisia huyu Babu anamilimbwateni ! Na kuna mtu alinitonya mandingo anayafataga Congo (not mtaa wa Congo) i mean kule Drc !
Ndo anaendaga kwenye maKamati.