Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Tumedhubutu,Tumeweza na Tunasonga mbele.
Kauli mbiu hii ya kinafiki.Aiwezekani kutembea unaimba kauli hii wakati huduma za afya bado duni.
Ndg tembelea Hospital ya RUFAA MUHIMBILI kajionee wodi ya wanaume SEWA HAJI KAJIONEE HALI MBAYA YA HUDUMA,
Wagonjwa wamelazwa chini kuanzia mlango kwenye rifti mpaka mwisho wa wodi ya unaingia tu pale.
Kauli mbiu hii ya kinafiki.Aiwezekani kutembea unaimba kauli hii wakati huduma za afya bado duni.
Ndg tembelea Hospital ya RUFAA MUHIMBILI kajionee wodi ya wanaume SEWA HAJI KAJIONEE HALI MBAYA YA HUDUMA,
Wagonjwa wamelazwa chini kuanzia mlango kwenye rifti mpaka mwisho wa wodi ya unaingia tu pale.