Wlliam J Malecela: Kachukue Dodoma Mjini 2015

Status
Not open for further replies.
Mnamuita Sharobaro saivi anatalii Madrid-London-Rome-New York City huku amevaa shingoni nyara ya Taifa.
 
Masa ni-inbox tena yr cell we need to talk bro, mwendo ndio huu sasa mdundo mkuu wangu, either sasa or never+

Le Baharia+

mwaha,ta uze kaya gwe,mimi nitagombea morogoro mjini ama mpwapwa,nitakuunga mkono ktk jimbo lolote utakalo gombea,ila usije mpwapwa bwana wala moro mjini
 
Duh Mzee Cigweimis Samwel Malecela hajaibiwa ha ha ha ha.

316444_2385989848381_1209820481_32959751_2885080_n.jpg
Jumanne (1994-1996) - Cigweimis Samuel Malecela
Tingatinga lilitikisa sana uchaguzi wa kumpata presidential candidate 1995 ila lilizimwa na Mwl.
Sijui Tanzania ya leo ingekuwaje
 
Mbona anaonekana Sharo sana anaweza bugia vumbi la Dom huyu kweli?
 
Wewe unae wa kukuna? au ndio huyo minyama uzembe?

FF

Yaani mtoto wa kiisilamu kweli waweza toa maneno kama haya katika kadamnasi? mswalie mtume jamani tu we na ishima tujadili bila maneo ya matusi, humu kuna watoto wetu
 
Mkuu huyu ni wewe kabisaaa??umezaliwa mwaka gani mbona kama unazeeka haraka??punguza pombe na umalaya baba!
Kama haya ya kwenye FB profile yake ni ya ukweli,then no wonder jamaa ni mtu mzima.Amemaliza primary 1975!Let say alimaliza na umri wa miaka 10.So jamaa ni overforty.


Education and Work
College:
Maritime Inst. DSM TZ. '82
College:
Kidatu Sugar Inst. Morogoro TZ. '80
Degree/Concentration:
Mech & Marine Engineering/Criminology & Police Science/Political Science.
College:
Westchester Community College
College:
Maritime Inst. CMB-Antwerpen, Belgium. '84
College:
CBE
College:
CUNY Lehman
College:
University of Dar es Salaam(UDSM)
High School:
Kwiro Secondary School, Morogoro 1979 TZ.
High School:
Jamhuri Primary School, Mnazi Mmoja DSM 1975 TZ.
High School:
Ilboru High School
Company:
HCWS Of New York City, USA
Time Period:
December 1988 to present
Company:
CMB Belgian Shipping Line/ Mv. Luxemburg
Position:
Ass. Engineer
Description:
Engine Room.
Company:
Dar es Salaam, Tanzania
Company:
MFP
Company:
University of Dodoma
Company:
Médecins Sans Matériel
Company:
Chama Cha Mapinduzi
 
Enough with blah blah za JF.

Huyu ni kaka yetu, kamanda wetu, kijana mwenzetu na pia ni mwenzetu na pia tunajua misimamo yake ambayo ninaweza ni progressive.Kwa wanaomjua William watakuambia kuwa ni kiongozi toka enzi zake alipokuwa baharia na waliokaa naye beach watakuwambia unlike watoto wa wakubwa wengine William hana majivuno (sifa kubwa ya wanasiasa wetu siku hizi) na sioni sababu kwa nini asiweze not only kuwa mbunge wa mji mkuu kama Dodoma.Anakubaliaka, ni mtu wa watu na tayari constituency kubwa ya Dododma mjini naamini watamkubali.

Na bila kusahau kuwa ni Cabinet materia so sioni kwa nini asirudi nyumbani na aendelee kumkoma nyani gilabuWilliam Samuel Malecela, Dodoma Mjini wants you, but your country NEEDS YOU more!
hii font kama ya @NEW YORK CITY
 
mbona me naona kama huyu William ndio muandishi wa waraka huu?
Umepoteza muda huko ulaya sasa umechoka kubeba boksi unataka ubunge kwa kuwa ni mtoto wa nje wa kigogo?
Karibu Bongo uyaone na hivi Mzee wako ni mstaafu ndio utaonja joto ya jiwe.
 
Mkuu ni yeye mwenye@ kumkoma Nyani anapenda kuitumia sana. Huyu ni willie
aiseeee basi jamaa ni noma....kwa hiyo anajianzishia thread afu anajijibu mwenyewe.....huyu jamaa aisee hata ukoo wake sidhani kama anaweza kuuongoza.....
 
Waambie walioanza, wanantafutia ban kwa kuwa nimewaambia huyo kijana wao ana manyama uzembe, sasa sijui wanakasirika nini na kitu cha ukweli na picha walioweka wenyewe ni ushahidi kamili.
damn right.......sema hakukuwa na haja ya kusema hayo...
 
kaka baba yake aling'oa pampu za visima vya maji...huyu anaweza kufukia na mashomo pia na kuharibu barabara. atakata nyaya za umeme na kubomoa ofic..huyu hafai hata bure
 
Imefika sasa wana Dodoma tusiendeshwe na warithi wa madaraka.Ubunge si ufalme.Atawale baba na mwana pia! Amkeni wana Idodomya tuna vijana wengi wasomi na wamekulia katika mazingira yetu ndo wanatatufaa kwa kuliongoza jimbo la Dodoma mjini.William aendelee kula bata huko aliko na si Dodoma.
 
- People thaanks a lot wote mbarikiwe mlichangia, I mean jana nimemamliza shuguli zangu Paris na Zurich, sasa naelekea Madrid nitakwua pale one day and then nitakwenda London na Rome, na Friday nitaruka kurudi Bongo.

- Well, tuonane bongo tujadili taifa letu, kuhusu kugombea uongozi sijaamua lakini baada ya kujionea mwenyewe hali ya bongo ndio tutaamua kama tutajitosa ama vipi, Otherwise ninawashukuru wote wka michango yenu na ushauri mzito sana, WOTE MBARIKIWE SANA NA MUNGU WA MBINGUNI!

Le Baharia Mutuz: Big Shooow!

kaka ututembelee Kwilondo store, tumekumiss mda mrefu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom