- People thaanks a lot wote mbarikiwe mlichangia, I mean jana nimemamliza shuguli zangu Paris na Zurich, sasa naelekea Madrid nitakwua pale one day and then nitakwenda London na Rome, na Friday nitaruka kurudi Bongo.
- Well, tuonane bongo tujadili taifa letu, kuhusu kugombea uongozi sijaamua lakini baada ya kujionea mwenyewe hali ya bongo ndio tutaamua kama tutajitosa ama vipi, Otherwise ninawashukuru wote wka michango yenu na ushauri mzito sana, WOTE MBARIKIWE SANA NA MUNGU WA MBINGUNI!
Le Baharia Mutuz: Big Shooow!
Vipi chief?Le Baharia Mutuz: Big Shooow!
Hivi wewe huwa ni Cheif Engineer, Cheif Cook, Chief Office, Crewa au mvuta kamba?
You can judge some peoples character towards life by their comments , always gloomy, always pessimistic,no goals in life.Hapa itakura kwake
Mawindo yanaanza:lol: