Sababu kuu ambazo zinamwondolea sifa ya kuchaguliwa kuwa hata Mwenyekit wa Kijiji ni: Ya kwanza ni SHAROBARO, ya pili anabebwa bebwa na Dingi yake, ya tatu ni Mtanzania Mixture!
Naomba utupe ufafanuzi kwenye sababu ya kwanza na ya mwisho
Sababu kuu ambazo zinamwondolea sifa ya kuchaguliwa kuwa hata Mwenyekit wa Kijiji ni: Ya kwanza ni SHAROBARO, ya pili anabebwa bebwa na Dingi yake, ya tatu ni Mtanzania Mixture!
Hivi kuwa mwanasiasa ni lazima kuandamana?
Mtu mwenyewe anaonekana SHAROBARO! Hivi anaweza hata kuandamana huyu!
Mzee wa @New York, USA
Bakia huko huko Tanzania is not a Monarchy state
Kweli William aliokoka
unless karudi kwene ukafiri lakini nijuavyo jamaa aliokoka
Ban imeisha mkuu? Wapi Waberoya?later people ndege inaondoka sasa, much respect kwa wote JF+
matusi haya kamanda, haina sababu kabisa kwenye hii thread, toa basi na wewe picha yako kama unawezaMkuu huyu ni wewe kabisaaa??umezaliwa mwaka gani mbona kama unazeeka haraka??punguza pombe na umalaya baba!
Hivi kuwa mwanasiasa ni lazima kuandamana?
Acheni roho mbay muacheni akagombee banaa.. anatimiza haki yake ya kikatiba na la muhimu ana exposure kubwa...baba kachukue jimbo hilo..go go go Will.
Mtu mwenyewe anaonekana SHAROBARO! Hivi anaweza hata kuandamana huyu!
Mtu mwenyewe anaonekana SHAROBARO! Hivi anaweza hata kuandamana huyu!
- people thaanks a lot wote mbarikiwe mlichangia, i mean jana nimemamliza shuguli zangu paris na zurich, sasa naelekea madrid nitakwua pale one day and then nitakwenda london na rome, na friday nitaruka kurudi bongo.
- well, tuonane bongo tujadili taifa letu, kuhusu kugombea uongozi sijaamua lakini baada ya kujionea mwenyewe hali ya bongo ndio tutaamua kama tutajitosa ama vipi, otherwise ninawashukuru wote wka michango yenu na ushauri mzito sana, wote mbarikiwe sana na mungu wa mbinguni!
Le baharia mutuz: Big shooow!
huyu jamaa ni moja wa jf founder lakini ni founder anayesusa kitu alichoshiriki kuanzisha sometimes! Sijui magamba wamempin!!