SamJet
Senior Member
- Jul 22, 2009
- 162
- 13
Nipo arumeru, ukuta wa wigo wa nyumbani pia ni wigo wa hoteli ambayo ni makao makuu ya ccm huku Arumeru Leganga USA, kusema kweli ni vilio humo hotelini,
Wizi wa kura, hivi jiulize kwenye vituo vidogo, ccm wanapata kura zinazogawanyika kwa tano tu, mfano 200, 200, 50 n.k hawapati kama56, 74, 47, huu sio uchakachuaji kweli?
Wizi wa kura, hivi jiulize kwenye vituo vidogo, ccm wanapata kura zinazogawanyika kwa tano tu, mfano 200, 200, 50 n.k hawapati kama56, 74, 47, huu sio uchakachuaji kweli?