Wizi wa vodacom

Mzee wa Mbinu

JF-Expert Member
Nov 1, 2011
245
126
Ni mambo ya kushangaza kuwa kushiriki walisema hili ni shindano la bure lakini cha kushangaza sisi wananchi wa hali ya chini tunaendelea kukatwa kiasi cha Tshs. 550 kila siku hata kama hujatuma hiyo sms ya kushiriki kwa hesabu ndogo voda com ina wateja Milioni 4.5 kwa kuwaibia kiasi hicho cha fedha inakuwa imekusanya kiasi cha Tshs. 2.475 Bilioni kwa siku.

Huu wizi wa huyu jamaa wa kagoda ltd yaani yeye anataka mpaka watanzainia wamtambue yeye ni bingwa wa wizi yaani anatunyonya kwenye kila nyanja za kiuchumi, jamaa noma ile mbaya huku kagoda, huku richmond, huku dorwans, hivi hawezi kufanya biashara kwa haki kama wengine?
 
Ni mambo ya kushangaza kuwa kushiriki walisema hili ni shindano la bure lakini cha kushangaza sisi wananchi wa hali ya chini tunaendelea kukatwa kiasi cha Tshs. 550 kila siku hata kama hujatuma hiyo sms ya kushiriki kwa hesabu ndogo voda com ina wateja Milioni 4.5 kwa kuwaibia kiasi hicho cha fedha inakuwa imekusanya kiasi cha Tshs. 2.475 Bilioni kwa siku.

Huu wizi wa huyu jamaa wa kagoda ltd yaani yeye anataka mpaka watanzainia wamtambue yeye ni bingwa wa wizi yaani anatunyonya kwenye kila nyanja za kiuchumi, jamaa noma ile mbaya huku kagoda, huku richmond, huku dorwans, hivi hawezi kufanya biashara kwa haki kama wengine?

Anabebwa na wakubwa halafu Chadema wakisema wanaonekana hawafai
 
Ni mambo ya kushangaza kuwa kushiriki walisema hili ni shindano la bure lakini cha kushangaza sisi wananchi wa hali ya chini tunaendelea kukatwa kiasi cha Tshs. 550 kila siku hata kama hujatuma hiyo sms ya kushiriki kwa hesabu ndogo voda com ina wateja Milioni 4.5 kwa kuwaibia kiasi hicho cha fedha inakuwa imekusanya kiasi cha Tshs. 2.475 Bilioni kwa siku.

Huu wizi wa huyu jamaa wa kagoda ltd yaani yeye anataka mpaka watanzainia wamtambue yeye ni bingwa wa wizi yaani anatunyonya kwenye kila nyanja za kiuchumi, jamaa noma ile mbaya huku kagoda, huku richmond, huku dorwans, hivi hawezi kufanya biashara kwa haki kama wengine?

ndio MAANA KUNA TIGO ///////AIRTEL////////NA YA WACHAGA CHAGAATEL INAKUJA MKUU UNA NAFASI YA KUBADILISHA MPWA
 
ndio MAANA KUNA TIGO ///////AIRTEL////////NA YA WACHAGA CHAGAATEL INAKUJA MKUU UNA NAFASI YA KUBADILISHA MPWA

Kati ya watu wenye mawazo pongo ni wewe Pdidy unaongeza idadi ila nilikuwa nakwamini amini lakini uamini naipa mgongo kuanzi muda huu. Inaletwa mada ww unaleta ukabila.
 
Achana na Pdidy, yeye habari anazojua ni ku-post mapenzi.

Kati ya watu wenye mawazo pongo ni wewe Pdidy unaongeza idadi ila nilikuwa nakwamini amini lakini uamini naipa mgongo kuanzi muda huu. Inaletwa mada ww unaleta ukabila.
 
Mitandao yoooooooote wezi, ni suala la namna wanavyokubaliana kuwaibia watz kwa zamu.
sio mitandao yote ni majizi ila ni namna ya wizi huo unakuwaje wengine wanakutaarifu kabisa kuwa mchezo huu ni kiasi fulani utakatwa lakini sio huu wa VODA COM wao walisema mchezo huu ni bure lakini cha kushangaza kwa nini kila siku wanaendelea kukata hizo fedha kwa kutumia sms kuwa uko katika shindano bila wewe kushiriki na tayari wamekata fedha yao ya kushiriki bila wewe kutaka,

Ukipiga huduma kwa wateja haipatikani na ikipatikana wanakwambia vitu ambavyo havitaondoa tatizo hili, mdogo wangu aliingia katika mtego huu sasa anafikiria kubadilisha line lakini wafabiashara wenzake watapata ufusubufu na yeye kukosa biashara naomba jamaa wa VODA watujibu
 
hawa jamaa walishafahamu kuwa watanzania wanapenda vitu vya bure ndo maana unaambiwa bahati nasibu lakini kama mtu unaelewa vitu kama hivyo usiendekeze an kama ukiingia kwenye hiyo bahati nasibu ukishindwa usishangae. Kama wao wanatoa TV 100 na ina wateja zaidi ya 8mil hushangai kua idadi yenu manaohitaji ni kubwa? Tuamke watanzania wenzangu lazima tufanye kazi kwa bidii na tusipende njia za makato
Asante
 
hawa jamaa walishafahamu kuwa watanzania wanapenda vitu vya bure ndo maana unaambiwa bahati nasibu lakini kama mtu unaelewa vitu kama hivyo usiendekeze an kama ukiingia kwenye hiyo bahati nasibu ukishindwa usishangae. Kama wao wanatoa TV 100 na ina wateja zaidi ya 8mil hushangai kua idadi yenu manaohitaji ni kubwa? Tuamke watanzania wenzangu lazima tufanye kazi kwa bidii na tusipende njia za makato
Asante
Tatizo hili shindano hakuna hata siku moja mshindi akatangazwa sasa ni mwezi wa tatu kwanini mshindi hatangazwi? Vipi jamaa wa tume ya mawasiliano na hawa wa michezo ya bahatisha vipi huu mchezo huchezeshwi huu ni wizi kama mchezo umechezwa na hukupata ni sawa lakini wachukue fedha without you concern harafu wasichezeshe, haiwezekani lazima warudishe fedha za watanzania fedha za Dorwans, Richmond na kagoda hazimtoshi du jamaa mlafi
 
Tatizo hili shindano hakuna hata siku moja mshindi akatangazwa sasa ni mwezi wa tatu kwanini mshindi hatangazwi? Vipi jamaa wa tume ya mawasiliano na hawa wa michezo ya bahatisha vipi huu mchezo huchezeshwi huu ni wizi kama mchezo umechezwa na hukupata ni sawa lakini wachukue fedha without you concern harafu wasichezeshe, haiwezekani lazima warudishe fedha za watanzania fedha za Dorwans, Richmond na kagoda hazimtoshi du jamaa mlafi
Huwa wanatangaza kupitia magazeti. Ukitazama magazeti ya leo (mi nimeona kwenye Mwananchi) kuna majina ya washindi wa wiki iliyopita
 
Huwa wanatangaza kupitia magazeti. Ukitazama magazeti ya leo (mi nimeona kwenye Mwananchi) kuna majina ya washindi wa wiki iliyopita
Hata redioni huwa wanatangaza......nilishawahi kusikia mara kadhaa wakitangaza kupitia CLOUDS FM
 
Back
Top Bottom