ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Jaman hebu tuelezane machache kuhusu huduma za hii benk yetu
kwa hapa magu Ukiweka pesa kwenye account isiyo yako ni lazma uambatanishe na shlng 1000/=,
je hii inafanyika hata wilaya zingine au huku MAGU wanaibiwa..!?
hii kitu wanayo NMB toka mwaka jana mkuu wewe ndio unastuka leo pole sana..