KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Mod ebu ondoa hii mada naona ata aloileta hayuko serious, inatujazia nafasi
Fool's Day at work!
Mkuu kama eneo tukio elezea nn kinaendelea kwa sasa pia tuwekee picha ili tujue nn kinachoendelea maana wengine tupo mbali tunahitaji Valid informationWe ni gamba acha uk niko hapa eneo la tukio ucwe unakanusha kila kitu
nani aliyachoma na kwa nini?ni kweli kuna masanduku yalikamatwa jana usiku ya kura na yenye kura ndani baadae yakachomwa moto
Ilo neno..Mzaha tuache kando, hasa hapa jamvini siku ya wajinga tuwaachie walio nje ya huu mtandao vinginevyo mambo yote ya maana na yenye tija kwa jamii kwa leo hatutayapata.
Ee Mola msaidie Nassari ashinde,Ameni
Mkuu ungetuwekea namba ya gari hilo taarifa hiyo ingekuwa na nguvu zaidiIkiwa bado dakika 10 vituo vya kupigia kura kufungwa, imetoa 'sinema' ya aina yake.Gari yenye 'tinted' nyeusi aina ya Toyota Land Cruiser inayoaminika kuwa na masanduku yaliyotikiwa mgombea wa CCM limekimbizwa na gari la wafuasi wa CHADEMA na walipowakaribia waliokuwa kwenye gari la 'CCM' walitoa silaha lakini polisi wameweza kutuliza ghasia hiyo na gari hilo tayari liko central.
Source : Star tv & ITV