araway
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 534
- 144
nikiwa naimani ya kuwa JF ni zaidi ya kijiji na kina mawakala kila kona ya nchi hii naamini pia naweza kupata msaada mkubwa humu wa kimawazo kutokana na tukio la wizi wa gari lilioniksibu.
nimeibiwa gari aina ya NISSAN SUNNY T553 ATW jana usiku mjini morogoro.nimefikisha suala hili police na kupewa rb no(MOR/RB/756/09)WIZI WA GARI TAR 22/07/09.
NIKIAMINI KIJIJI HIKI KIMEJAA WATU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI NA WAKADA MBALIMBALI NATUMAINI KUPATA MSAADA WA KIMAWAZO NA USHAURI KUTOKAA KWENU!
NI KAGARI KANGU KA KWANZA JAMANI!
nimeibiwa gari aina ya NISSAN SUNNY T553 ATW jana usiku mjini morogoro.nimefikisha suala hili police na kupewa rb no(MOR/RB/756/09)WIZI WA GARI TAR 22/07/09.
NIKIAMINI KIJIJI HIKI KIMEJAA WATU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI NA WAKADA MBALIMBALI NATUMAINI KUPATA MSAADA WA KIMAWAZO NA USHAURI KUTOKAA KWENU!
NI KAGARI KANGU KA KWANZA JAMANI!