Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Jmn huu co mtandao wa ku2mia kama ww ni mtanzania unae ishi maisha ya kawaida,
hapa namaanisha kwa wale wa2miaji wa INTERNET
Ukijiunga na cheka internet ya sh.500/= wao wanadai eti wanakupa 20Mb, huu ni Uongo tena mkubwa mno yaan ni kwamba ukishajiunga hapo utapewa 13.5mb tu huu ni wizi wa kiTEKNOLOJIA ambao hauwezi kuvumilika kama kuna m2 amewahi kujiunga na hii cheka INTERNET na kudownload vi2 vyenye ukubwa hata wa 15mb aseme.
NAWASILISHA..!
hapa namaanisha kwa wale wa2miaji wa INTERNET
Ukijiunga na cheka internet ya sh.500/= wao wanadai eti wanakupa 20Mb, huu ni Uongo tena mkubwa mno yaan ni kwamba ukishajiunga hapo utapewa 13.5mb tu huu ni wizi wa kiTEKNOLOJIA ambao hauwezi kuvumilika kama kuna m2 amewahi kujiunga na hii cheka INTERNET na kudownload vi2 vyenye ukubwa hata wa 15mb aseme.
NAWASILISHA..!