Wizi Mtupu!

kuitwa 'mheshimiwa' haimaanishi kuwa na 'heshima' ama kuheshimiwa! wanasiasa sio wote wenye kuheshimika/heshimiwa.
japokuwa siamini kama heshima ni kitu cha bure. wazungu wanasema 'respect is earned'. kitu ambacho nadhani wanasiasa wetu wanasahau, kuwa kwa kuitwa mh na kugawia watoto pipi huwezi kupata heshima. there is no free lunch, heshima inclusive!
 
kuitwa 'mheshimiwa' haimaanishi kuwa na 'heshima' ama kuheshimiwa! wanasiasa sio wote wenye kuheshimika/heshimiwa.
japokuwa siamini kama heshima ni kitu cha bure. wazungu wanasema 'respect is earned'. kitu ambacho nadhani wanasiasa wetu wanasahau, kuwa kwa kuitwa mh na kugawia watoto pipi huwezi kupata heshima. there is no free lunch, heshima inclusive!

Nimekupata king'asti, lakini suala la kizushi! hivi mwenye cheo espesheli serikalini au kwenye chama cha siasa kama hana heshima au haheshimiki tunapomuita muheshimiwa Je muktadha huu unakubaliana na Lugha ya kiswahili? na iwapi thamani ya neno "heshima"

offu topik: nilitaka kulog out lakini Gun lako limeniturn on ghafla
 
muktadha huu haukubaliani na kiswahili. ingebidi iwe voluntary kuita mtu mheshimiwa. aisee, kuna mtu unamuita mheshimiwa wakati moyoni mwako unamdharau (despise inakolea zaidi,samahani ukoloni umeniweka ukungu akilini,kha!). ila ndo wanaoita hivyo kula yao iko hapo. haina tofauti na jamaa wa ngwasuma na papaa msoffe, wasipompamba hawaendi nanilii
offutopiki: this gun was meant to turn u off, not on! hujanitendea haki wallah!
 
Eti wanasema "Heshima ni kitu cha bure", mbona sisi walalahoi hatuitwi "waheshimiwa"? au hatustahili "heshima" au "kuheshimiwa" ?


Wanasiasa bana!

Nilikuwepo!
wasalimieni JF Chit Chat
Hata mimi nachoka sana fellow tablet.......hebu angalia
Mheshimiwa Anna Makinda
Mheshimiwa mstaafu Lawrence Masha
Mheshimiwa Januari Makamba
Mheshimiwa mstaafu Rostam Aziz
Mheshimiwa Edward Lowasa

Afu cheki hii

Askofu Mokiwa........si Mheshimiwa
Sheikh Yahya Hussein (RIP)...Si Mheshimiwa
Mchungaji Mama Rwakatare si mheshimiwa kanisani mpaka atinge bungeni
Padre Karugendo.........Si mheshimiwa
Profesa Seng'ondo Mvungi, si mheshimiwa, mpaka atinge bungeni
Mkuu Invisible......si mheshimiwa
Mkuu Klorokwini........hategemewi kuwa mheshimiwa labda aondoke jukwaa la MMU na Chit Chat
Babu Asprin...........Mheshimiwa kwa mkewe tu......... watoto wanamwita baba, wajukuu wananmwita babu

Wanasiasa bana. Mia.Mia.Mia
 
Hata mimi nachoka sana fellow tablet.......hebu angalia
Mheshimiwa Anna Makinda
Mheshimiwa mstaafu Lawrence Masha
Mheshimiwa Januari Makamba
Mheshimiwa mstaafu Rostam Aziz
Mheshimiwa Edward Lowasa

Afu cheki hii

Askofu Mokiwa........si Mheshimiwa
Sheikh Yahya Hussein (RIP)...Si Mheshimiwa
Mchungaji Mama Rwakatare si mheshimiwa kanisani mpaka atinge bungeni
Padre Karugendo.........Si mheshimiwa
Profesa Seng'ondo Mvungi, si mheshimiwa, mpaka atinge bungeni
Mkuu Invisible......si mheshimiwa
Mkuu Klorokwini........hategemewi kuwa mheshimiwa labda aondoke jukwaa la MMU na Chit Chat
Babu Asprin...........Mheshimiwa kwa mkewe tu......... watoto wanamwita baba, wajukuu wananmwita babu

Wanasiasa bana. Mia.Mia.Mia

Babu on the move, habari yako binafsi babu.
 
Eti wanasema "Heshima ni kitu cha bure", mbona sisi walalahoi hatuitwi "waheshimiwa"? au hatustahili "heshima" au "kuheshimiwa" ?


Wanasiasa bana!

Nilikuwepo!
wasalimieni JF Chit Chat

Nauliza tu hivi kuna kosa usipotanguliza hilo neno muheshimiwa????
 
utamwita muheshimiwa kama anakupa ugali
mf waziri kwa rais
lakini kwetu sisi wajasiria mali huo unafiki hatuna.
 
Hata mimi nachoka sana fellow tablet.......hebu angalia
Mheshimiwa Anna Makinda
Mheshimiwa mstaafu Lawrence Masha
Mheshimiwa Januari Makamba
Mheshimiwa mstaafu Rostam Aziz
Mheshimiwa Edward Lowasa

Afu cheki hii

Askofu Mokiwa........si Mheshimiwa
Sheikh Yahya Hussein (RIP)...Si Mheshimiwa
Mchungaji Mama Rwakatare si mheshimiwa kanisani mpaka atinge bungeni
Padre Karugendo.........Si mheshimiwa
Profesa Seng'ondo Mvungi, si mheshimiwa, mpaka atinge bungeni
Mkuu Invisible......si mheshimiwa
Mkuu Klorokwini........hategemewi kuwa mheshimiwa labda aondoke jukwaa la MMU na Chit Chat
Babu Asprin...........Mheshimiwa kwa mkewe tu......... watoto wanamwita baba, wajukuu wananmwita babu

Wanasiasa bana. Mia.Mia.Mia


Fellow tablet unajua inauma sanaaa aisee! samtaimu mtu unapitisha jihada zako zote , unaazima suti na mokasi rangi ya udongo, halaf unajifanya kuamkia shkamoo kila unaemkuta ili uitwe muheshimiwa lakini hauitwi. Kuna njemba inaiba kura, inaiba hela za mikataba, haifungi ramazani, haitoi sadaka kanisani na unaiskia inaitwa "mheshimiwa", nazani tuanzishe petition ya kuliomba razi dikshineri la kiswahili, tumelikosea heshima sana.

Leo niko serious kweli! baada ya hii sredi kukamilika lazma mtaskia mawaziri kadhaa wamejiuzulu. stay tuned! fellow tablet
 
Hata mimi nachoka sana fellow tablet.......hebu angalia
Mheshimiwa Anna Makinda
Mheshimiwa mstaafu Lawrence Masha
Mheshimiwa Januari Makamba
Mheshimiwa mstaafu Rostam Aziz
Mheshimiwa Edward Lowasa

Afu cheki hii

Askofu Mokiwa........si Mheshimiwa
Sheikh Yahya Hussein (RIP)...Si Mheshimiwa
Mchungaji Mama Rwakatare si mheshimiwa kanisani mpaka atinge bungeni
Padre Karugendo.........Si mheshimiwa
Profesa Seng'ondo Mvungi, si mheshimiwa, mpaka atinge bungeni
Mkuu Invisible......si mheshimiwa
Mkuu Klorokwini........hategemewi kuwa mheshimiwa labda aondoke jukwaa la MMU na Chit Chat
Babu Asprin...........Mheshimiwa kwa mkewe tu......... watoto wanamwita baba, wajukuu wananmwita babu

Wanasiasa bana. Mia.Mia.Mia


Unashtakiwa kwa kosa la kumvunja m2 mbavu. unakiri shtaka?
 
utamwita muheshimiwa kama anakupa ugali
mf waziri kwa rais
lakini kwetu sisi wajasiria mali huo unafiki hatuna.

Suali langu kwanini waitwe waheshimiwa? sio lazima umuite wewe! unajua mtu akiwa una uhakika anakuibia halafu kwenye media anamsikia anakuwa adressed kama mheshimiwa inauma aisee! halaf inachafua jina la JF.
 
Nauliza tu hivi kuna kosa usipotanguliza hilo neno muheshimiwa????
hata kama hakuna kosa! kwanini mwizi ikubalike kuitwa mheshimiwa?. halaf kuna wengine wanaitwa waheshimiwa hata kukoga hawakogi! Heshima iko wapi? leo nina hasira kweli hata waifu kakimbia home.
 
Fellow tablet unajua inauma sanaaa aisee! samtaimu mtu unapitisha jihada zako zote , unaazima suti na mokasi rangi ya udongo, halaf unajifanya kuamkia shkamoo kila unaemkuta ili uitwe muheshimiwa lakini hauitwi. Kuna njemba inaiba kura, inaiba hela za mikataba, haifungi ramazani, haitoi sadaka kanisani na unaiskia inaitwa "mheshimiwa", nazani tuanzishe petition ya kuliomba razi dikshineri la kiswahili, tumelikosea heshima sana.

Leo niko serious kweli! baada ya hii sredi kukamilika lazma mtaskia mawaziri kadhaa wamejiuzulu. stay tuned! fellow tablet
Hahahaha...... Hiyo mambo ya kuiba kura peleka kule jukwaa la mastress wakaidiskasi kwa mapovu........ Hapa tujadili hiyo mokasini, ukitaka uitwe mheshimiwa labda ukaazime ya Mbu. Hivi siku hizi yuko wapi huyu mtu?.........BTW ile tabia yako ya kukaribisha wanachama wapywa wa JF wenye ID ya kike umeshaacha? Kabla bado nakushauri uwakaribishe kwa mkwala kuwa wewe ni MOD na wasipokuita Mheshimiwa utawahamishia fesibuku au Michuzi blogu wakauze sura..........

Hivi hapa tupo jukwaa gani vile?

Unashtakiwa kwa kosa la kumvunja m2 mbavu. unakiri shtaka?
Nitendee heshima kwa kuniita mheshimiwa. Na hiyo kesi si itasikilizwa na mheshimiwa hakimu?.....Hivi Nyerere alikuwa mheshimiwa au Ndugu?
 
Back
Top Bottom