Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
timu ya malindi imeamua kufunga minyororo ofisi zake na kuamua kuandika barua ya kujitoa baada ya kuamuriwa kugawa kiwanja chake bila taarifa kwa mfanya biashara seleman takie...akiongea na mwandishi wetu mwenyekiti wa timu ya malindi alisema mi nilijua ufisadi uko bara mpaka michezoni sasa...mi nimeamua kuifunga aiwezekani ati unaambiwa imetoka memo toka ofisi ya raisi apewe kiwanja ajenge hotel ya kimataifa.......
kila la kheri alietangulia ametangulia
kila la kheri alietangulia ametangulia