KARIA
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 717
- 472
Hali zenu wapendwa? Alfajiri tumemkamata mwizi wa majumbani, kabla ya kumuadhibu nikataka kujua ni wapi wanapozipata dawa za kupulizia watu madirishani mpaka wanapoteza fahamu. Sikuamini jibu alilonipa, kumbe huwa wanachukua CD wanaiwasha moto halafu ule moshi ukikupata ukiwa umelala unakuwa nusu kaputi!