Wizara ya Nishati na Madini yaibiwa

koo

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
258
67
Umetokea wizi wa HARD DISK za kompyuta muhimu ndani ya wizara ya nishati na madini katika kile kinachodhaniwa ni kupoteza kumbukumbu muhimu za ushahidi wa ufisadi wa wizara.

Kufuatia hatua hiyo inayo sadikika kufanywa na mtandao wa kijasusi unaomilikiwa na mafisadi serikali imeamua kufunga CCTV cameras katika vyumba vyote 189 vya jengo la wizara na vyooni ili kudhibiti watumishi wanaoiba nyaraka kwa lengo la kuvujisha siri za serikali na msako wa aliye toa barua ya Jairo unaendelea kwa kasi huku watumishi wakifurahia kurejea kwa jairo kwa kile kinachosemekana ni mkombozi.

Chanzo changu kinadai bwana Maswi aliyekua anakaimu ukatibu alipunguza posho za watumishi kwa asilimia 50 jambo lililowaudhi watumishi wengi na urejeshwaji wa Jairo ukapokelewa kama ukombozi wa posho zao zilizo fyekwa

Chanzo nichakuaminika
.
 
officeq.jpg
[JFMP3][/JFMP

Ukishakuwa na mambo kama haya huhitaji kuiba hardware...wewe unatuma tuu ma trojan horse huku unakamua JF
 
Niliwashangaa sana wale watumishi waliolisukuma gari la Jairo jana. Nadhani wale ni moja ya watu ambao wanafikiri kwa kutumia tundu la masaburi.
<br />
<br />
hahahaha! Mkuu u hv made my day, bt leo tena huzuni itawarejea baada ya jamaa kurudishwa tena likizo na mkulu
 
Haikuibiwa isipokuwa ni usalama wa taifa ndiyo wamefanya vibwanga vyao, ili kupotezea ishu nzima ya JAIRO. Kamati ya Bunge itakayofanya uchunguzi ikose nyaraka na vielelezo muhimu.
 
Hii ni hatari sana, lakini taratibu wanaanza kuumbuka, lazima kieleweke
 
Umetokea wizi wa HARD DISK za kompyuta muhimu ndani ya wizara ya nishati na madini katika kile kinachodhaniwa ni kupoteza kumbukumbu muhimu za ushahidi wa ufisadi wa wizara.

Kufuatia hatua hiyo inayo sadikika kufanywa na mtandao wa kijasusi unaomilikiwa na mafisadi serikali imeamua kufunga CCTV cameras katika vyumba vyote 189 vya jengo la wizara na vyooni ili kudhibiti watumishi wanaoiba nyaraka kwa lengo la kuvujisha siri za serikali na msako wa aliye toa barua ya Jairo unaendelea kwa kasi huku watumishi wakifurahia kurejea kwa jairo kwa kile kinachosemekana ni mkombozi.

Chanzo changu kinadai bwana Maswi aliyekua anakaimu ukatibu alipunguza posho za watumishi kwa asilimia 50 jambo lililowaudhi watumishi wengi na urejeshwaji wa Jairo ukapokelewa kama ukombozi wa posho zao zilizo fyekwa

Chanzo nichakuaminika
.



Mkuu inawezekana kuwa kuweka hizo Camera ni ufisadi mwingine. Pentagon in camera kuliko sehemu yoyote ile, watu wanaiba siri zake. Watu wanahack computer kutoka mile 10,000 bila hata kugunduliwa. Njia nzuri ya kuondoa vitu kama hivyo ni uwazi, kukiwa na uwazi hakuwezi kuwa na siri ya kuiba na kuvujishwa.

Mbona BOT kuna CCTV camera lakini waliweza kuiba kiulaini tu na sasa wanapeta tu? Kuba hard disk pia ni wizi wa kizamani sana, labda aliyeiba ni mwizi wa kawaida tu mwenye njaa aliyetaka kwenda kuuza, na si kama alitaka kuiba siri.
 
Natamani ifike mahala Jairo amwage tu mchele! aondoe kabisa dhana ya kutolewa mbuzi wa kafara!
 
officeq.jpg
[JFMP3][/JFMP

Ukishakuwa na mambo kama haya huhitaji kuiba hardware...wewe unatuma tuu ma trojan horse huku unakamua JF

Hii ndio Server Room ya Wizara ya Nishati ? Kama ndio zenyewe This is rubbish na Ngeleja ajiuzulu haraka sana na tunashukuru kwa Giza analotugamia yeye na M k we reeee
 
Umetokea wizi wa HARD DISK za kompyuta muhimu ndani ya wizara ya nishati na madini katika kile kinachodhaniwa ni kupoteza kumbukumbu muhimu za ushahidi wa ufisadi wa wizara.

Kufuatia hatua hiyo inayo sadikika kufanywa na mtandao wa kijasusi unaomilikiwa na mafisadi serikali imeamua kufunga CCTV cameras katika vyumba vyote 189 vya jengo la wizara na vyooni ili kudhibiti watumishi wanaoiba nyaraka kwa lengo la kuvujisha siri za serikali na msako wa aliye toa barua ya Jairo unaendelea kwa kasi huku watumishi wakifurahia kurejea kwa jairo kwa kile kinachosemekana ni mkombozi.

Chanzo changu kinadai bwana Maswi aliyekua anakaimu ukatibu alipunguza posho za watumishi kwa asilimia 50 jambo lililowaudhi watumishi wengi na urejeshwaji wa Jairo ukapokelewa kama ukombozi wa posho zao zilizo fyekwa

Chanzo nichakuaminika
.
\

Nilikuwa sijui kwa nini wafanyakazi wa wizara hiyo walishangilia vile
kurudishwa kwa Jah Hero, sasa nimeelewa...
 
Back
Top Bottom