kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Nisaidieni kuziuliza mamlaka husika,miaka mingi sasa imeipita na sijawahi kusikia mamlaka husika zikitaja ni kiasi gani cha dawa za kulevya zimekamatwa hadi kufikia hii leo? Wasiwasi wangu ni huenda hizi dawa zinarudishwa sokoni na wajanja maana bidhaa nyingine zinatangazwa kwenda kuharibiwa lakini sijawahi sikia madawa ya kulevywa .kama wanayatunza yapo kiasi gani?