Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nimepata taarifa kuwa jana mahabusu wa hapa magereza ya Arusha walishindwa kufikishwa mahakamani baada ya karandinga kukosa mafuta..hali hiyo ilipelekea valangati kubwa huko magereza, mahabusu wakitaka kupelekwa mahakamani huku Askari magereza wasijue la kufanya...
Je aliyoyasema Zitto kuwa serikali imefirisika ni kweli
naomba kutoa hoja..
Je aliyoyasema Zitto kuwa serikali imefirisika ni kweli
naomba kutoa hoja..