Gerald David
Member
- Nov 2, 2010
- 10
- 0
Naibu waziri fedha ameliambia bunge asubuhi ya leo kuwa wizara ya fedha imetenga kiasi cha Tsh. bilioni moja kwa ajili ya kuajiri wafanyakazi wapya 200 katika mwaka huu wa fedha, aidha waziri amesisitiza uharaka wa kutangaza ajira hizo ili ziweze kusaidia upungufu wa wafanyakazi katika wizara hiyo.
haya wajomba mwezi wa saba wizara ya fedha wanatemesha mzigo kaeni mkao wa kula.
haya wajomba mwezi wa saba wizara ya fedha wanatemesha mzigo kaeni mkao wa kula.