Hivi Kwa Nini Wizara Ya Elimu Pamoja Na Umuhimu Wake Ndo Wizara Inayoongoza Kuwa Na Mawaziri Wabovu Toka Enzi Za Juma Kapuya, Joseph Mungai, Magareth Sita, Jumanne Magembe Na Sasa Shukuru Kawambwa?! Af Mbaya Zaidi Wengi Ni Ma-Profesa Na Ma-Dk..Manake Sidhani Ka Kuna Hata Mmoja Aliyeacha Kumbukumbu Chanya Ya Maana Kwenye Wizara Yake Zaidi Ya Kuongeza Matatizo Ka Migomo Vyuo, Ubadilishaji Ovyo Wa Mitaala, Kuchelewa Kupata Au Kutopata Mkopo, Uvujaji Wa Mitihani karibu Kila Mwaka, Kuongeza Matatizo Kwa Waalimu Ka Kupata Mishahara nk, Kufuta Mitihani ya La 4 Na Kidato cha 2,.Na Inapoelekea Wanaweza Wakafuta Na Suppl Na Discont.