karibukwetusingida
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 290
- 137
Wizara ya elimu kupitia idara ya ukaguzi wa shule imetoa kazi kibao kanda kwa walimu wanaohitaji kuwa wakaguzi wa shule. Lazima uwe mwalimu mwenye uzoefu wa miaka mitatu kazini.
Zaidi tembelea mbao zote za matangazo za mikoa na ofisi za ukaguzi wa shule kanda zote.
Mwisho ni tarehe 7/8/2014, kumbuka hizi ni nafasi kwa ajili ya walimu walio ajiriwa tu na serikali.
Zaidi tembelea mbao zote za matangazo za mikoa na ofisi za ukaguzi wa shule kanda zote.
Mwisho ni tarehe 7/8/2014, kumbuka hizi ni nafasi kwa ajili ya walimu walio ajiriwa tu na serikali.