Vuta subira mdadajaman matokeo vp?
Inasikitisha yanavocheleweshwa kwa kwel!
inakatsha tamaa
Umeomba nn mkuuNasikia jana yametoka ya wale wanaojiendeleza xo nahc bado kidogo! 2vute subira!
Mwenyewe nimeomba CO
Tokeo zuri mkuu futa subira tu!Nilikua na bios c chem c phys b mats b engl b ila nimemaliza 2010
Nilikua na bios c chem c phys b mats b engl b ila nimemaliza 2010
Nilikua na bios c chem c phys b mats b engl b ila nimemaliza 2010
we 270 vyuo vyote au Muhimbili 2Kweli kulikuwa na ushindani nimeamini wameomba 4829 na walokuwa wanahitajika ni 270 tu! Hiyo si hatari??
we 270 vyuo vyote au Muhimbili 2
Kimgawanyo wa kozi sio jumla jumla ndo iwe 270 hakuna kitu kama hicho.
Yani hapo vyuo'vya co vyote jumla ya wanafunzi ni hiyo idadisijaelewa hapo kaka
Nasikia wizara ya afya wanashughulikia na post za muhimbili![/QU