double click
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 569
- 945
da! Kaz kwel kwel inapasa kuwa na subira najua kuna tatzo lpo ndo maana wk kmya lakn naiman wk hii lazma watayatoa matokeo.
Mm naona 2tafute namba ya cm ya katibu kwan yy ndo ataye2pa uhakka kama kuna m2 mwny nayo antumie il 2mpgie
da! Kaz kwel kwel inapasa kuwa na subira najua kuna tatzo lpo ndo maana wk kmya lakn naiman wk hii lazma watayatoa matokeo.
Kuna jamaa angu yupo Dar kani'tell kwamba matokeo ya wizara ya afya yatatoka rasmi J3 ijayo.
Kwa mlioko Dar hebu fuatilieni hizi taarifa kama ni za kweli!
#Over!
my e-mail: danielcanisius47@gmail.com.
U'll inform me soon as possible.
My brother feed your vision and not your hungry
Please my young brother, feed your 'vision' and not your 'hungry'
Kama tunafanyiwa hv brother, tutafanya nn?
Wengine hatuwez kua'ford gharama za private!
Ujue na tym inaenda.Muda haurud nyuma.
Hv sor Bongoclever uko wap m2 wng?
Me nipo pande za Mwanza
bro mie pia ni muhanga wa hili swala sasa kwa wewe na wengine kama wewe ambao wanahitaji alternative ningewashauri kwa wanaotaka na wanaoweza kujiunga na chuo cha agriculture muhukuru fdc kipo njia ya tanzania-msumbiji,chuo hiki ni cha maendeleo ya jamii kipo chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto.kama upo tayari kujiunga weka email yako hapa ntakupa njia zitakazo kupa nafasi pale coz wameshafungua kile chuo pale.