wizara ya afya!

da! Kaz kwel kwel inapasa kuwa na subira najua kuna tatzo lpo ndo maana wk kmya lakn naiman wk hii lazma watayatoa matokeo.
 
hapo bc tena inawezekana hela ya ruzuku ya vyuo wametumia kwenye kampeni zao na imekuwa ngumu kuzirudisha hii nchi bwana ipo kama taarabu vile tumechoka wajameni
 
Kuna jamaa angu yupo Dar kaniambia matokeo ni J3 ijayo.
Mlioko Dar hebu fuatilieni hli swala kama ni kweli.
 
Kuna jamaa angu yupo Dar kani'tell kwamba matokeo ya wizara ya afya yatatoka rasmi J3 ijayo.
Kwa mlioko Dar hebu fuatilieni hizi taarifa kama ni za kweli!

#Over!
 
Please my young brother, feed your 'vision' and not your 'hungry'

inafika kpnd inabd u'feed hungry jamaa yngu!
Ok! Let say me na interest ya udaktar,na uwezo wa kusomea udaktari umekataa,at the same tym unapewa issue ya kusomea IT na gharama ya kusomea unakuwa nayo,lazma niende kwenye IT.
DO AS YOH TIME NEED!
 
bro mie pia ni muhanga wa hili swala sasa kwa wewe na wengine kama wewe ambao wanahitaji alternative ningewashauri kwa wanaotaka na wanaoweza kujiunga na chuo cha agriculture muhukuru fdc kipo njia ya tanzania-msumbiji,chuo hiki ni cha maendeleo ya jamii kipo chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto.kama upo tayari kujiunga weka email yako hapa ntakupa njia zitakazo kupa nafasi pale coz wameshafungua kile chuo pale.

email angu ni
edwindaudi@hotmail.com
 
Back
Top Bottom