Bongoclever
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 105
- 11
Jamani jumatatu ya tarehe 15 ndo hii hapa! Kweli wizara ya afya itatoa matokeo kama walivyosema?
Tupia hapa kama una details zozote hapa!
Tupia hapa kama una details zozote hapa!
Jamani jumatatu ya tarehe 15 ndo hii hapa! Kweli wizara ya afya itatoa matokeo kama walivyosema?
Tupia hapa kama una details zozote hapa!
we subiri tu
muda unakwenda,,...
jioni ndio hii lakini matokeo bado acha tusubili2 kwa maana wanapanga wao wenyewe.
Duuh! Wizara ya afya,kama kutukomoa,mmetukomoa mpaka tumekomaika!!
KAMA HAYO MATOKEO YATATOKA MWAKA KESHO! TAFADHALI BORA TUAMBIZANE.MBONA TUNAONANA WATOTO KU2DANGANYISHIA NA PIPI! Aah! We tired!
ushaona na wewe......
Hivi altenative ya hapo ni nini.......?
vp ada yao funguka
bro mie pia ni muhanga wa hili swala sasa kwa wewe na wengine kama wewe ambao wanahitaji alternative ningewashauri kwa wanaotaka na wanaoweza kujiunga na chuo cha agriculture muhukuru fdc kipo njia ya tanzania-msumbiji,chuo hiki ni cha maendeleo ya jamii kipo chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto.kama upo tayari kujiunga weka email yako hapa ntakupa njia zitakazo kupa nafasi pale coz wameshafungua kile chuo pale.
my e-mail: danielcanisius47@gmail.com.
U'll inform me soon as possible.
bro mie pia ni muhanga wa hili swala sasa kwa wewe na wengine kama wewe ambao wanahitaji alternative ningewashauri kwa wanaotaka na wanaoweza kujiunga na chuo cha agriculture muhukuru fdc kipo njia ya tanzania-msumbiji,chuo hiki ni cha maendeleo ya jamii kipo chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto.kama upo tayari kujiunga weka email yako hapa ntakupa njia zitakazo kupa nafasi pale coz wameshafungua kile chuo pale.