Hivi majina ya wizara ya afya ndio imetosha maan yametoka majina 1255 tu hii imekaaje waungwana wenye taarifa zozote kuhusu hili atusaidie kama ndio 50% tujue
nikusahihishwe wametoa majina 1166 tu na hapo ndio mwisho kuna barua ya sili ilitoka kila wilaya kutakiwa kupunguza idadi ya watumishin wanaowahitaji.this is Tanzania
Hivi majina ya wizara ya afya ndio imetosha maan yametoka majina 1255 tu hii imekaaje waungwana wenye taarifa zozote kuhusu hili atusaidie kama ndio 50% tujue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.