Mangi merry
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 221
- 41
Asubuhi ya leo nimepashwa habari na rafiki yangu aliekuwa anashughulikia mambo yake wizarani kwamba wizara imebandika tangazo kuwataka wahitimu wote wa kada za afya waliomaliza intern wapeleke vitu vifuatavyo:
Certified copi za vyeti vya O level, A level, trancript, birth certificate na university certificate. Barua ya kupendekeza mkoa au wilaya unaotaka kufanyia kazi, CV yako na cheti cha kusajiliwa kwenye baraza la kada yako.
My take: kwanini wizara isiweke Tangazo kwenye website yake ili na wa mikoani walione!?
Certified copi za vyeti vya O level, A level, trancript, birth certificate na university certificate. Barua ya kupendekeza mkoa au wilaya unaotaka kufanyia kazi, CV yako na cheti cha kusajiliwa kwenye baraza la kada yako.
My take: kwanini wizara isiweke Tangazo kwenye website yake ili na wa mikoani walione!?