Bongoclever
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 105
- 11
Waungwana hebu nifumbueni kwa hili;
nimeckia tetec ya kwamba kwa wale waloomba course wizara ya afya mwezi april kama vyeti vyako havikupigwa muhuri na mwanasheria wa serikali hauwezi kuchaguliwa hata kama una vigezo vyote!
Inaukweli hii ndani yake?
Tueleweshane kwa hili jamani.
nimeckia tetec ya kwamba kwa wale waloomba course wizara ya afya mwezi april kama vyeti vyako havikupigwa muhuri na mwanasheria wa serikali hauwezi kuchaguliwa hata kama una vigezo vyote!
Inaukweli hii ndani yake?
Tueleweshane kwa hili jamani.