Wizara Ya Afya Mnatudanganya!

Bill

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
8,277
8,492
Breaking News. Kijiji kimoja nchi Tanzania Kimeshinda vita dhidi ya Malaria, hebu tumskilize ripota wetu.

Ndugu watazamaji .................................. "Mbu mmoja tu anatosha kuwaambukiza malaria na wao kuwaambukiza wenzao"

Shida ndo ipo hapo kwa huyo source; Je mtu akiambukizwa malaria na yeye anaweza kuwaambukiza wenzake? Hili tangazo halifikishi ujumbe uliokusudiwa, linapotosha kabisa. Mbadilishe, vinginevyo mtufafanulie mnachomaanisha hapa.
 
Back
Top Bottom